mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Achana na magitaa kila mtu anapiga,qchana na vinanda.
Unataka kuchakata wanawake wakila aina jifunze saxophone
Mimi nakilaani hiki kifaa maana kimenifirisi kupitia wanawake.
Kuna rafiki yake na mzee wangu alikuwa kwenye brass band ya JWTZ miaka ya nyuma akaacha saxophone yake nyumbani akaenda kupigana vita ya Uganda mwaka 1978,hakurudi mpaka leo,kile kifaa tunazaliwa tunakikuta nyumbani,
Utundu utundu nikaanza kukipuliza,nilipofika darasa la tano nikapata mpiga matarumbeta wa kwenye harusi akanifundisha zaidi sasa mimi ni master.
Hivi viko kama vitano kuna saprano ,altor,tenor,baritone na bass.
Mimi namudu hivyo vitatu vya juu.
Nikipata mgeni wa kike nyumbani huwa nachukua tenor yangu naanza kupuliza ghafla utasikia binti anasema anausingizi anataka kulala namuelekeza chumbani na mchezo umeisha.kile kidude kinaleta usingizi na hisia za ajabu
Kanisani kwaya
wakatunga wimbo fulani ila sehemu ya saxophone wakawa wanapiga kinanda nikawaambia naomba nipige saxophone hapo wakakubali,nikajiunga kwaya nikaanza mazoezi,nilipokuwa nikipuliza saxophone naona wanakwaya nabinti vinyweleo vya ngozi vinasimama miiili inasisimka wanapata na hisia wengine wakawa wanatoa machozi wakati napuliza sax yangu
nilifyeka mabinti kwaya nzima.
Nikiwa USA kwa Kamala Harris miaka hiyo nilikuwa sina kazi ya maana kuna band ya wajamaica nikawa napiga day worker kwenye bar na kumbi ndogo ndogo nikipuliza saxophone,nilichakata wazungu mpaka nikapata na mke wa kizungu.
Hiki kifaa ni hatari sana sana kama umegombana na mpenzi wako kaa mita tano anza kukipiliza utaniambia,ila sio hizo baritone au bass,jifunze altor ,tenor au saprano.
Na usichanganye na trumpet (tarumbeta)trumpet ni makelele tu
Anayeweza kunisaidia k uupload hapa picha yake nitashukuru mimi mtandao unazingua
Unataka kuchakata wanawake wakila aina jifunze saxophone
Mimi nakilaani hiki kifaa maana kimenifirisi kupitia wanawake.
Kuna rafiki yake na mzee wangu alikuwa kwenye brass band ya JWTZ miaka ya nyuma akaacha saxophone yake nyumbani akaenda kupigana vita ya Uganda mwaka 1978,hakurudi mpaka leo,kile kifaa tunazaliwa tunakikuta nyumbani,
Utundu utundu nikaanza kukipuliza,nilipofika darasa la tano nikapata mpiga matarumbeta wa kwenye harusi akanifundisha zaidi sasa mimi ni master.
Hivi viko kama vitano kuna saprano ,altor,tenor,baritone na bass.
Mimi namudu hivyo vitatu vya juu.
Nikipata mgeni wa kike nyumbani huwa nachukua tenor yangu naanza kupuliza ghafla utasikia binti anasema anausingizi anataka kulala namuelekeza chumbani na mchezo umeisha.kile kidude kinaleta usingizi na hisia za ajabu
Kanisani kwaya
wakatunga wimbo fulani ila sehemu ya saxophone wakawa wanapiga kinanda nikawaambia naomba nipige saxophone hapo wakakubali,nikajiunga kwaya nikaanza mazoezi,nilipokuwa nikipuliza saxophone naona wanakwaya nabinti vinyweleo vya ngozi vinasimama miiili inasisimka wanapata na hisia wengine wakawa wanatoa machozi wakati napuliza sax yangu
nilifyeka mabinti kwaya nzima.
Nikiwa USA kwa Kamala Harris miaka hiyo nilikuwa sina kazi ya maana kuna band ya wajamaica nikawa napiga day worker kwenye bar na kumbi ndogo ndogo nikipuliza saxophone,nilichakata wazungu mpaka nikapata na mke wa kizungu.
Hiki kifaa ni hatari sana sana kama umegombana na mpenzi wako kaa mita tano anza kukipiliza utaniambia,ila sio hizo baritone au bass,jifunze altor ,tenor au saprano.
Na usichanganye na trumpet (tarumbeta)trumpet ni makelele tu
Anayeweza kunisaidia k uupload hapa picha yake nitashukuru mimi mtandao unazingua