ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
- Thread starter
- #21
halafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi ๐คฃSema mimi mwenyewe ndakuwa nimefaidi tunda๐๐๐๐๐๐๐akuna cha bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi ๐คฃSema mimi mwenyewe ndakuwa nimefaidi tunda๐๐๐๐๐๐๐akuna cha bure
mkuu hicho ni kilugha gani tena melancholi๐๐๐๐๐คฃ๐คฃhalafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi ๐คฃ
kimatembo hahahaaaaaaaaaaaaa yaani wewe ni mtu wa kuongea sana na mfurahishaji kumbe uko pande zipi hapa duniani?mkuu hicho ni kilugha gani tena melancholi๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ
Nipo hapa las vages USA๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐nakupata mubashara vip wew pand zipikimatembo hahahaaaaaaaaaaaaa yaani wewe ni mtu wa kuongea sana na mfurahishaji kumbe uko pande zipi hapa duniani?
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwii sasa naona unaniweka kikaangioni haya hongera zako mm niko jiji la mama hapa tzNipo hapa las vages USA๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐nakupata mubashara vip wew pand zipi
Upo dar es salaam tanzania mitaa hiyo nimeishi sana mbezi makabe unakufaamu uko๐๐๐๐๐๐๐hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwii sasa naona unaniweka kikaangioni haya hongera zako mm niko jiji la mama hapa tz
nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa๐คฃUpo dar es salaam tanzania mitaa hiyo nimeishi sana mbezi makabe unakufaamu uko๐๐๐๐๐๐๐
nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa๐คฃ
mkuu mbona unazurura sana sehemu zote hizo mimi nakukaa kote dsm sehemu nyingi ni chenga๐๐๐๐๐๐nakufaahamu sana tena sana mpaka kule temeke njia nyembamba ya kijito kwa MPALANGE sasa utanifananisha na BAK au Chachu Ombara wa OMAN hapo kwa mshumbusi hahhaaaaa๐คฃ
nimepita mkuu eneo lile hatari sana ogopa kupita usiku utaduwaa unachokiona mbele ya macho yako hahaaaaahahahahahahahahahah kwa Mpalange pia umepita?
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maisha ndo yananipeleka huko unajua ukitaka kutafuta utafika hata eneo lisilofikika mkuumkuu mbona unazurura sana sehemu zote hizo mimi nakukaa kote dsm sehemu nyingi ni chenga๐๐๐๐๐๐
nimepita mkuu eneo lile hatari sana ogopa kupita usiku utaduwaa unachokiona mbele ya macho yako hahaaaaa
ahaaaaaa jamani acha kusema hivyo mm kule napita wakati basi limekwamba kupita uhasibu ndo wanachepukia njia za ajabu ajabu kama hizo hahaaaaaaaa๐๐๐๐๐๐๐๐ mhuni wewe!!!!
Shida sana hasa kwenye kuombwa hela wallahHabarini wadau wa humu.
Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha?
TIRIRIKENI WADAU hapa.
Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito.
Wasalamu
Ladyf
ahaaaaaa jamani acha kusema hivyo mm kule napita wakati basi limekwamba kupita uhasibu ndo wanachepukia njia za ajabu ajabu kama hizo hahaaaaaaaa
umejuaje ๐๐๐๐๐๐๐Totos nyingi zina sema hivyo utasikia wew mkaka unaongea sanahalafu wewe unaongea sana utakuwa melancholi ๐คฃ
Ndo adi kwa mparange?mkuu๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃwewe noma sanahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa maisha ndo yananipeleka huko unajua ukitaka kutafuta utafika hata eneo lisilofikika mkuu
Kujulikana kubaya ni kule ambako watu wengi wanakujua alafu wewe huwajui na hujawahi kukutana nao kabisa.Habarini wadau wa humu.
Toeni ya moyoni kuhusu kujulikana Je kwako mwenzangu KUJULIKANA kuna raha au karaha?
TIRIRIKENI WADAU hapa.
Mimi kujulikana naona raha sijui wadau mabestito.
Wasalamu
Ladyf