umesema wewe ni intorvent? kwaiyo na wewe mkuu unakaa ndani sana na aupendi ku socialize auIts all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
Atapata wapi demu wakati anasema anashinda ndani!!!Kikubwa kama ni mwanaume hakikisha una demu wa kukutuliza akili huku ukifanya mambo yako. Kama huna demu jichanganye upate maujanja.. wako watakaobeza ushahuri huu ila hakikisha una mademu zako wawili watatu kwa ajili ya kukupa experience ya maisha
Najaribu kumtaka atoke asije akawa anakula beki tatu au nyeto kwa sana... au akawa na ugwadu mpaka machine ipate kutu mkuuAtapata wapi demu wakati anasema anashinda ndani!!!
Kawaida Sana mbona.Mi huwa natamani hata sokoni Au dukani nisiende.,huwa naenda Kama Hakuna kabisa mtu wa kwenda. Nakaribia kumaliza likizo yangu ni mtu wa ndani tu. Kutoka labda ni jumapili kwenda kanisaniHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Naunga mkono, nami ni miongoni mwa introverts, ilinichukua muda sana japo nlilelewa mazingira yenye uhuru sana, naamini atakapokuwa chuoni atabadikika sanaIts all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
Sio mbaya kijana...kutulia kwako ndani nyumbani unaepukana na matatizo mengi na vishawishi vingi kutoka kwa walimwengu haswa hii ngozi nyeusi mie ushauri wangu kama hamna umuhimu wa kutoka nje bora ukae home ujisomee ukiona uvivu fanya mazoezi kuliko kujichanganya na waswahili wwngine sio watu wazuriHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Mimi pamoja na kufika chuo. ,Bado Hali ni ile ile .ni mtu wa ndani tu and i'm just happyNaunga mkono, nami ni miongoni mwa introverts, ilinichukua muda sana japo nlilelewa mazingira yenye uhuru sana, naamini atakapokuwa chuoni atabadikika sana
Inategea tu na mind set yake kama ni mtu wa nyeto akikaa ndan mda lazima apige ila kama sio hawez pigaPunyeto lazima utakua unapiga
Ila mtahadharishe asije akawa kama kuku aliyekata kamba.Its all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
Mh! K yako ya kwanza uliutafuna ukiwa na umri gani?Nilizoea hivyo toka utotoni hadi sasa. Kama sina inshu au siendi kazini huwa niko ndani tu.
Upole wangu na kutopenda makundi hasa ya vijiweni na malezi vilichangia hasa kwa upande wangu.
Siyo ugonjwa dogo.
Niliitafuna nikiwa form 2.Mh! K yako ya kwanza uliutafuna ukiwa na umri gani?
[emoji23] [emoji23] nimekuuliza kwa kuwa mkuu haupo mwenyewr mwenye hiyo tabia na pia watu wengi wa hivyo huwa very intelligent kwa kuwa hawa afektiwi na mazingira na pia huchelewa sana kula pussy ..........Niliitafuna nikiwa form 2.
[emoji23] mkuu wengine waoga wamaisha Hakuna intelligent wala nini wanafunzi wengi wakimaliza chuo Kazi yao nikushinda ndani wanasubiri ajira[emoji23] [emoji23] nimekuuliza kwa kuwa mkuu haupo mwenyewr mwenye hiyo tabia na pia watu wengi wa hivyo huwa very intelligent kwa kuwa hawa afektiwi na mazingira na pia huchelewa sana kula pussy ..........
[emoji23] kikawaida si kila mtu ni fighter mkuu kuwa fighter kabla ya kupata ajira haimaanishi mafanikio na pia kukaa ndani kabla ya ajira haimanishi hautopata mafanikio wengi hawawezi hiyo kitu ila tuongee ukweli ni kuwa hata wale watoto ambao huwa wanakaa ndani tu huwa very intelligent...[emoji23] mkuu wengine waoga wamaisha Hakuna intelligent wala nini wanafunzi wengi wakimaliza chuo Kazi yao nikushinda ndani wanasubiri ajira