Kukaa ndani siku nzima bila kutoka nje

Kukaa ndani siku nzima bila kutoka nje

Its all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
umesema wewe ni intorvent? kwaiyo na wewe mkuu unakaa ndani sana na aupendi ku socialize au
 
Kikubwa kama ni mwanaume hakikisha una demu wa kukutuliza akili huku ukifanya mambo yako. Kama huna demu jichanganye upate maujanja.. wako watakaobeza ushahuri huu ila hakikisha una mademu zako wawili watatu kwa ajili ya kukupa experience ya maisha
Atapata wapi demu wakati anasema anashinda ndani!!!
 
Habari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Kawaida Sana mbona.Mi huwa natamani hata sokoni Au dukani nisiende.,huwa naenda Kama Hakuna kabisa mtu wa kwenda. Nakaribia kumaliza likizo yangu ni mtu wa ndani tu. Kutoka labda ni jumapili kwenda kanisani
 
Its all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
Naunga mkono, nami ni miongoni mwa introverts, ilinichukua muda sana japo nlilelewa mazingira yenye uhuru sana, naamini atakapokuwa chuoni atabadikika sana
 
Habari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Sio mbaya kijana...kutulia kwako ndani nyumbani unaepukana na matatizo mengi na vishawishi vingi kutoka kwa walimwengu haswa hii ngozi nyeusi mie ushauri wangu kama hamna umuhimu wa kutoka nje bora ukae home ujisomee ukiona uvivu fanya mazoezi kuliko kujichanganya na waswahili wwngine sio watu wazuri
 
Its all a mind set. Anza kuu train ubongo wako kutokukaa ndani. una introvent personality, just like me. But jifunze kujichanganya na watu , toka na marafiki .. hiyo hali itaanza kuyeyuka kidogo kidogo
Ila mtahadharishe asije akawa kama kuku aliyekata kamba.
 
Hiyo hali hata mimi mwenyewe ninayo uzuri najichanganya na watu nikiwa kwenye utafutaji wa riziki na kingine nikiwa zangu nyumbani sipendi kelele kabisaaa.

Kipindi nilichokuwa na umri kama wako sehemu ya muda wangu ilikuwa inalika kwenye kuandika mashairi, napenda sana hip hop lakini sasa hivi nimepunguza hayo mahaba.
 
ukiwa unakaa ndani then unafanya ishu zako za kujipa furaha kama games, movie among other, yani unakuwa better zaidi na hauna haja ya kutoka nje, But Kama unakaa ndani unalala tuu heeeeee
 
[emoji23] [emoji23] nimekuuliza kwa kuwa mkuu haupo mwenyewr mwenye hiyo tabia na pia watu wengi wa hivyo huwa very intelligent kwa kuwa hawa afektiwi na mazingira na pia huchelewa sana kula pussy ..........
[emoji23] mkuu wengine waoga wamaisha Hakuna intelligent wala nini wanafunzi wengi wakimaliza chuo Kazi yao nikushinda ndani wanasubiri ajira
 
[emoji23] mkuu wengine waoga wamaisha Hakuna intelligent wala nini wanafunzi wengi wakimaliza chuo Kazi yao nikushinda ndani wanasubiri ajira
[emoji23] kikawaida si kila mtu ni fighter mkuu kuwa fighter kabla ya kupata ajira haimaanishi mafanikio na pia kukaa ndani kabla ya ajira haimanishi hautopata mafanikio wengi hawawezi hiyo kitu ila tuongee ukweli ni kuwa hata wale watoto ambao huwa wanakaa ndani tu huwa very intelligent...
 
Back
Top Bottom