[emoji16] [emoji16] [emoji16]madem sina wanataka hela
hahaa hakuna anayekubali hadharani lakini chama kimegusa kila sehemu/kikundi cha watu .....Labda wapo ambao hawajahi kjikoki[emoji23][emoji23]
na kwa hilo jina...bora uwe hivyo hivyo..hata mimi kama sina ishu ya maana huko nje nafata nini
Acha tabia ya kupanda mnazi kwa mkono mmoja utaacha kukaa ndaniHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Ongeza Idadi angalao wafikie 18 kijana!! Ili uweze kufika hapo itabidi uachane na uanachama wa CHAPUTA.hamna nishapiga kama madem wawili olevel
Mtumeee[emoji1544]Bado bikra au shambaboy alishaikwangua!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Binafsi kama sina jambo la kunitoa nje naweza kukaa hata mwaka ndani
kuna siku uliwahi niambia tunafanana kitabia'... leo nina sadiki maneno yakoNilizoea hivyo toka utotoni hadi sasa. Kama sina inshu au siendi kazini huwa niko ndani tu.
Upole wangu na kutopenda makundi hasa ya vijiweni na malezi vilichangia hasa kwa upande wangu.
Siyo ugonjwa dogo.
HahaaaWengi wanaopenda sana kukaa ndani ni wapiga punyeto wazuri sana
hahaa huu utafiti mmeutoa wapi ""? mbona mimi sipigi aiseePunyeto lazima utakua unapiga
Ndo zao kuumbee?Kukaa sehemu moja muda mrefu bila kazi huleta vishawishi vya kujichua/punyeto
Bila shaka wewe utakuwa ni mwathirika wa hili janga!
Unaweza ikawa kweli asee...mtoto wa uncle anapenda kukaa ndani halafu hana demu hata wa kusingiziwa!...ila kuna siku nilisikia ukunga flani wa kimapenzi bafuni wakati anaoga!Wengi wanaopenda sana kukaa ndani ni wapiga punyeto wazuri sana