Huo muda unao sasa.Simple tricks from my own knowledge
Ckuzote cmu huonyesha mahali ulipo, especially tz you can escape easily mtego wa kukamatwa na PT/ TISS
First switch VPN
You can buy new phone
Or
Change cmu card while your phone on vpn through WiFi
Then communicate through internet call (chat & call through telegram )
Pesa zote ziamishie binance uwe na crypto currency tuu USDT , huduma zote lipa kwa mfumo huo
Usijarbu ku withdrawal pesa bank au kwa agent kwakutumia details zako
Huyo mtu namfahamu2013 kwetu tulipata kibarua wa shamba, yule bwana kumbe huko kwao aliua jamaa mwenzie wakiwa kibanda umiza huko Tabora,
Yule bwana alikua mtiifu wa kazi za shamba na kuchunga mifugo yetu,
Alikaa pale kijijini had 2016 akaoa na kuanzisha familia yake, 2019 kuna jamaa mnunua mazao kumbe ni wa huko kijijini kwao na anamfahamu, alivyofika kumuona alihamaki, kakuta mwenzake ana mke na mtoto na nyumba yake, kiufupi ana maisha yake,
Yule jamaa ndo akatusimulia pale home, nakumbuka mzee akamuambia yule mgeni asiseme kwa watu, huwezi amini baada ya muda ndugu wa yule kibarua walikuja kule kijijini, navyoongea maisha yake yako pale kijijini ana fuga ng'ombe na mbuzi, kurudi kwao hataki tena, ila ndugu zake ndo wanamtembelea.
Kosa LA pili in kwenda kwa waganga wa jadi. Hao waganga Siku nyingi sana wameshakuwa recruited kama informants.Wewe ndio usingemaliza hata siku Mbili.
Ukishakuwa mhalifu wa kiwango cha muuaji au gaidi simu au chombo chochote cha mawasiliano ni mwiko kutumia.
Usipojiweka jela kwa hiyari yako mwenyewe kwa kujizuia kuwasiliana watakukamata ili wakuweke jela kinguvu.
Yule anaendesha bajaji,kwa kipato chake hawezi kuvuka borderHuyo hakujipanga ila ukijipanga mbona chap mbn dar hapa hapa unaishi hata miaka mana unaongia ndichi una muajir mtu awe anakuletea vtu we na bando likiwepo bc kesi imeisha
Kuna mtu aliendaga kutubuKosa LA pili in kwenda kwa waganga wa jadi. Hao waganga Siku nyingi sana wameshakuwa recruited kama informants.
Hivi angetumia simu ya mtu mwingine au asajiliwe simcard/laini na mtu mwingine, then apunguze hayo mawasiliano angeongeza chance ya kutopatikana.Tatizo la Rasta katumia simu na ukitumia simu kwenda kwa mnara ulio karibu ya eneo aliopo.
Sasa hapa polisi ndio wanajua Rasta yupo eneo gani nao wanatuma picha yake kwa polisi wa eneo husika.
Kama Rasta ange wacha wapigia simu watu wake wa karibu mbona asinge patikana milele.
Hujamjibu kisawasawa. Ni hivi unapopiga simu Huwa Ina register coordinates za sehemu ulipo na mda uliopiga simu na namba ya mtu uliempigia. Sasa ukichukua hizo coordinates ukaweka kwenye google map unaona Hadi mhusika alipopigia simu.Kiufupi polisi duniani kote wana mitambo ya kusikiliza na kukutrack popote ulipo duniani kote.
Njia rahisi wakupate wana chukuwa namba za watu wako wa karibu kupitia mtandao wa simu.
Hapa hata kama utabadilisha namba wanajua huyu ni wewe kwa kupitia njia mbili sauti yako au wanamfata alie pigiwa atowe ushahidi kama kweli alikuwa mtuhumiwa alie ongea nae.
Mtuhumiwa kosa lake mara nyingi inayo sababisha akamatwe ni kufanya mawasiliano na mzee, mke, mchumba, ndugu au marafiki. Pia kutumia kitambulisho kama Passport au Nida kwa kusafiria au kusajili namba ya simu kwa kutumia vitambulisho husika.
Pia njia ya kutumia kutoa hela kwenye bank yake kwa [emoji763] au tawi la bank hii hujua huyu mtu yupo eneo gani.
wengi hawajui,halafu pia kinachowashinda wengi kujificha na kukamatwa ni kukosekana kwa maokoto,mfano uyo jamaa usijekuta baada ya kufanya mauaji akakimbia,uko alikokimbilia pesa zinamuishia anabaki kuwapigia simu watu wake wa zamani kwa minajiri labda wamtumie pesa,matokeo yake kukamatwa,Ujinga ni kujifanya unajificha halafu unazima simu na kuwasha au kutupa Line ya simu na kununua mpya afu kuendelea kutumia simu Ile Ile.
Tupa simu tupa line uone kama utadakwa kirahisi. Ingekuwa mm ningekuwa Mogadishu muda huu
ni kweli kabisaHivi angetumia simu ya mtu mwingine au asajiliwe simcard/laini na mtu mwingine, then apunguze hayo mawasiliano angeongeza chance ya kutopatikana.
Pia, kwa nini asingeenda kujificha huko bush ndani ndani kabisa badala yake anakimbilia mijini ambapo ni risk kuonekana kwa watu wengi..
Bado nina imani hii nchi unaweza kujificha kwa muda mrefu na usipatikane kirahisi
Kukaa mbali na mazingira/watu uliowazoea ni mtihani mkubwa sana mkuu. It's a psychological torture kwako na kwa familia yako pia, plus hofu ya kukamatwa muda wowote ule, unakaa roho juu juu, hata akija chizi maeneo yako unasihi huyu labda ni usalama ametumwa kunipeleleza, yaani ni shida juu ya shida.Vipi angebadilisha simu na laini mpya?
Mkuu unajua kama Dora na yenyewe inatumia uchawi kutafuta watu, Vyombo vya dora vina waganga wao.Nahisi tu sina uhakika kwamba, ile laini yako ya kwanza wanaangalia namba ulizokuwa unawasiliana nazo sana au ikibidi zote wanazitegeshea. Wewe utajifanya kubadili namba na kuwapigia watu wako kumbe namba zao zipo kwenye mfumo wanakusikiliza tu!
Ukitaka usipatikane, acha kutumia simu kajifiche huko ndani ndani!
Inawezekana kabisa hata mtumishi husika akajiongeza tu kwenda kwa mgangaMkuu unajua kama Dora na yenyewe inatumia uchawi kutafuta watu, Vyombo vya dora vina waganga wao.
Nikweli kwa mifumo ya nchii haipo vizur kama ya Ulaya na nchi yetu ni kubwa mnoo, kwahiyo muharifu akijichimbia pahala kuja kumkamata ni ngumu, Ndiyo maana kwenye familia utakuta kijana ametokomea sehemu bila kukumbuka nyumbani kwao lakini Wazazi wake wakitumia njia ya Asili wanaweza kumrudisha nyumbani ata kama huyo Kijana yupo Ulaya.Inawezekana kabisa hata mtumishi husika akajiongeza tu kwenda kwa mganga