macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mabasi yote yana kamera?Hata usipotumia chombo chochote Cha mawasiliano labda usipande hata basi
Mabasi Yana kamera ndani picha hurushwa Kwa vyombo vyote vya Usafiri utadakwa tu
Ukitumia Usafiri private Traffic wote wanakuwa na picha ya mhalifu ukisimamishwa gari watajifanya wanakagua ushushe vioo vyote wanakagua Hadi kwenye buti nk kumbe wanakuwinda mwenyewe
Du. Wewe ni rahisi sana kukamatwa. Line ya mchongo uitumie wakati wanakuwa wanasikiliza simu za ndugu, rafiki na jamaa zako wote? Halafu huko kwenye shughuli za madini huko ni lazima watakuwa wanapitapita kuangalia.Hapo nunua line ya mchongo isiyo na usajili wa majina yako. .tafuta chaka mikoa ambayo ina shuguli za madini na uvuvi (wageni huwa wengi) hvyo hakuna atakayehisi ugeni wako ..jitupie huko kisha kata mawasiliano na mtu yoyote kwa muda wa mwaka mmoja.
Usisafiri safari ndefuHata usipotumia chombo chochote Cha mawasiliano labda usipande hata basi
Mabasi Yana kamera ndani picha hurushwa Kwa vyombo vyote vya Usafiri utadakwa tu
Ukitumia Usafiri private Traffic wote wanakuwa na picha ya mhalifu ukisimamishwa gari watajifanya wanakagua ushushe vioo vyote wanakagua Hadi kwenye buti nk kumbe wanakuwinda mwenyewe
Yaa upo sahihi serikali inamkono mrefuAliua Kawe Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba, 2023 na Kakamatwa rasmi Juzi tarehe 29 Desemba, 2023 huko Mkoani Ruvuma.
Na ili kuonyesha kuwa Intelijensia ya Jeshi la Polisi nchini ni Kali ni kwamba ndani ya Miezi hii Miwili Muuaji Rakesh Kato Mayele ( alias ) Rasta Kato au Rasta Mayele ( Dereva Bajaji Kawe ) alikuwa akiwakimbia / akiwakwepa Polisi kwa Kuhamahama Mikoa ambapo aliishi Mikoa karibia Mitano kabila ya Mbio zake kuishia rasmi Mkoani Ruvuma ( Songea ) ambako ndiko Alikodakiwa / Alikokamatwa.
Namaliza tu kwa kusema kuwa kwa Teknolojia Kubwa iliyoko Tanzania kwa sasa na Intelijensia Mahiri ya Jeshi la Polisi, JWTZ na TISS ukiona umefanya Tukio lolote lile baya cha kufanya haraka sana ambacho nakushauri ni Wewe Kujiua tu ila usijidanganye kuwa hutopatikana kamwe kwa Kigezo cha Kutegemea Waganga wa Kienyeji kama ambavyo alikuwa akifanya huyu Kijana Muuaji Kato aliyemuua Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna ( Mtani wangu wa Kinyiramba ) kutokea Mkoa wa Singida.
Hongera sana PT kwa Kumkamata.
Kukamata na kushitaki wahalifu. Lengo ni kudhibiti tukio kama hilo lisijirudie tena siku za usoni. Sio kufufua marehemu ebooMission accomplished, kumkata Kato hakurudisha Muna back to life
Hiyo ni kweli hujaona hata kwenye movie mtu kama anatafutwa hatumiagie smartphone wanatumiaga simu hazina intaneti hata, wanasiasa wote ukiwachunguza utakuta Wana hizi simu ndogondogo hazitrackiwiKuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
"If you keep on the past the future will never discover you."Kuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Hiyo ni kweli hujaona hata kwenye movie mtu kama anatafutwa hatumiagie smartphone wanatumiaga simu hazina intaneti hata, wanasiasa wote ukiwachunguza utakuta Wana hizi simu ndogondogo hazitrackiwi
Aliua Kawe Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba, 2023 na Kakamatwa rasmi Juzi tarehe 29 Desemba, 2023 huko Mkoani Ruvuma.
Na ili kuonyesha kuwa Intelijensia ya Jeshi la Polisi nchini ni Kali ni kwamba ndani ya Miezi hii Miwili Muuaji Rakesh Kato Mayele ( alias ) Rasta Kato au Rasta Mayele ( Dereva Bajaji Kawe ) alikuwa akiwakimbia / akiwakwepa Polisi kwa Kuhamahama Mikoa ambapo aliishi Mikoa karibia Mitano kabila ya Mbio zake kuishia rasmi Mkoani Ruvuma ( Songea ) ambako ndiko Alikodakiwa / Alikokamatwa.
Namaliza tu kwa kusema kuwa kwa Teknolojia Kubwa iliyoko Tanzania kwa sasa na Intelijensia Mahiri ya Jeshi la Polisi, JWTZ na TISS ukiona umefanya Tukio lolote lile baya cha kufanya haraka sana ambacho nakushauri ni Wewe Kujiua tu ila usijidanganye kuwa hutopatikana kamwe kwa Kigezo cha Kutegemea Waganga wa Kienyeji kama ambavyo alikuwa akifanya huyu Kijana Muuaji Kato aliyemuua Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna ( Mtani wangu wa Kinyiramba ) kutokea Mkoa wa Singida.
Hongera sana PT kwa Kumkamata.
Mkuu pamoja na kuisifia intelijensia ya tanpol....ni muhimu pia watu kutambua kuwa unapofanya kosa ambalo unatafutwa na dola njia primitive ya kutoroka ni kuzima simu....Aliua Kawe Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba, 2023 na Kakamatwa rasmi Juzi tarehe 29 Desemba, 2023 huko Mkoani Ruvuma.
Na ili kuonyesha kuwa Intelijensia ya Jeshi la Polisi nchini ni Kali ni kwamba ndani ya Miezi hii Miwili Muuaji Rakesh Kato Mayele ( alias ) Rasta Kato au Rasta Mayele ( Dereva Bajaji Kawe ) alikuwa akiwakimbia / akiwakwepa Polisi kwa Kuhamahama Mikoa ambapo aliishi Mikoa karibia Mitano kabila ya Mbio zake kuishia rasmi Mkoani Ruvuma ( Songea ) ambako ndiko Alikodakiwa / Alikokamatwa.
Namaliza tu kwa kusema kuwa kwa Teknolojia Kubwa iliyoko Tanzania kwa sasa na Intelijensia Mahiri ya Jeshi la Polisi, JWTZ na TISS ukiona umefanya Tukio lolote lile baya cha kufanya haraka sana ambacho nakushauri ni Wewe Kujiua tu ila usijidanganye kuwa hutopatikana kamwe kwa Kigezo cha Kutegemea Waganga wa Kienyeji kama ambavyo alikuwa akifanya huyu Kijana Muuaji Kato aliyemuua Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna ( Mtani wangu wa Kinyiramba ) kutokea Mkoa wa Singida.
Hongera sana PT kwa Kumkamata.
Kukamata na kushitaki wahalifu. Lengo ni kudhibiti tukio kama hilo lisijirudie tena siku za usoni. Sio kufufua marehemu eboo
Hoja yako ina ukweli mchungu kwa kiasi Fulani.Mapambio huyeyusha werevu. Nchi zilizoendelea pamoja na budget kubwa ya inayotengwa kuimarisha teknolojia ya usalama, bado kuna “unsolved cases” nyingi tu zimerundikana. Ndo uje useme Tanzania teknolojia imekua kwenye mambo ya ulinzi na usalama?
Ukileta ubabe, uwe tayari kupokea matokeo regardless cheo na wadhifa wako. Watu sio wanyonge. Huyo bakabaka alipata alichostahili kwa wakati huo. RIP
Ufikiriaji huu tuuache 2023.Mission accomplished, kumkamata Kato hakurudisha Muna back to life
Traceability ya wahalifu inaweza kufanyika kwa namna nyingi sana, hususani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia ya hali ya juu zaidi.Mkuu pamoja na kuisifia intelijensia ya tanpol....ni muhimu pia watu kutambua kuwa unapofanya kosa ambalo unatafutwa na dola njia primitive ya kutoroka ni kuzima simu....
kuzima simu tu hakutoshi....tupa simu nzima pamoja na line zake walau utawakimbia hata miezi kadhaa japo utadakwa tu.
Simu ndio adui namba moja kwa usaliti kwa mhalifu.