Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Hapo nunua line ya mchongo isiyo na usajili wa majina yako. .tafuta chaka mikoa ambayo ina shuguli za madini na uvuvi (wageni huwa wengi) hvyo hakuna atakayehisi ugeni wako ..jitupie huko kisha kata mawasiliano na mtu yoyote kwa muda wa mwaka mmoja.
Uue mwanajeshi,upotee mwaka? Kwamba umeua sooo! Ukitaka kujua thamani ya mwanajeshi,waulize akifia vitani wanafanyaje! Kama maiti haiwezi kukamatwa, je aliyeuliwa unadhani mwisho itakuwaje? Kwanza nasikia watu walihangaishwa, huku muuaji wakiwa wameshamjua! Wana historia chafu jama
 
Kuishi bila kuwasiliana na watu ni ngumu mno unless mke wako awe mjanja nae awe anatumia simu ambayo sio yake kukupigia au Landline ya ofisi.
 
Kwaiyo unataka kusema kama angeitupa simu na raini asingekamatwa
Angedakwa tu. Simple scenario ingekuwa hivi; lazima angekuja kukatiza mahali penye public CCTV kama stendi au benki; in a matter of seconds, picha yake ingekuwa compared against picha zake zilizo kwenye kanzidata tofauti including NIDA, mitandao ya simu, etc. Ingejulikana day fulani alikuwa mahali fulani na nguvu ingeelekezwa huko.

Kwa dunia ya leo ya teknolojia, vijana waache usela mavi! Wawe raia wema wala hutaona ukifautiwa na yeyote. Ukileta ujinga; siku zako wala sio nyingi - utaishi kwa tabu, mateso, na hofu sana duniani humu.
 
Ni kweli kama IKIKUTAKA kwa sababu HAIKUWATAKA waliomshambulia Lissu 2017.
 
... eti aende kijijini mbali! Mbali ipi hiyo? Labda sio Tanzania. Unajua mabalozi wa nyumba 10 ni part of the security system ya nchi?
 
Na mpaka leo picha yake haijulikani

Ova
 
Usitoe pongezi kirahisi rahisi.inawezekana ni uzembe wa mtuhumiwa.
Na ndivyo ilivyo duniani kote! Security investigation always ni "michezo ya makosa". Ni lazima ujichanganye somewhere ili wafanikishe kazi yao; otherwise, hakuna mhalifu angekamatwa duniani.
 
Miongoni mwa viumbe wachache toka mkoa wa Mara wenye unafiki wa kiwango cha SGR, akifuatiwa na Waitara
 
[emoji38][emoji38][emoji38] nakumbuka alisema hivyo
 
Ufikiriaji huu tuuache 2023.

2024 tutumie Akili.

Askari wa aina hiyo, ma-idiot ambao wamejazana majeshini, hiyo ndio hukumu yao sahihi, hukumu ambayo huwezi kukata rufaa. He deserved to die, I honestly believe he was a lialibility to the taxpayer.
Hakuwa na sababu ya kuonyesha ubabe
 
Tena km alishaingia Songea, angezamia matimira, kilagano, muhukuru au mpitimbi, angekamatwaa wapiiii?

Yaan huko angekua kibarua wa mashambani, angetafuta demu na kuoa hapo kijijini, angekaa miaka kadhaa afu angechoropokaa.
Kukamatiwa Songea usidhani ni kwa bahati mbaya au nzuri. Most likely Polisi walikuwa wanafuatilia nyendo zake kuona direction aliyotaka kuelekea ku-prove huyu ndiye. Asingevuka border huyu!
 
Hivi muendesha bajaji anaanzia wapi kuijua binance?😂
 
Ukishayakanyaga kama hivo wewe fanya kama umezaliwa leo huna ndugu huna rafiki huna mzazi huna mtu yoyote unayemfahamu kimbilia mikoa ya kikimo huko kapige vibarua tu, kifupi anza maisha mapya unaweza survive kwa muda mrefu
Mikoa ipi ya kilimo isiyo na mabalozi wa nyumba 10? Unajua hao ni sehemu ya mfumo wa usalama wa nchi? Jidanganye!
 
Kosa alilofanya huyo jamaa ni kuendelea kubakia Tanzania , hana akili
Unaofanya mauaji au kosa la jinai ,tupa line za simu ,tupa simu , toroka nje ya nchi ,hasa nchi jirani hapa kama Uganda ,Kenya , Mozambique nk kwa njia za panya , simple
Sio rahisi unavyofikiria. Tukio lile halikuwa planned; ilikuwa ghafla sana yale mauwaji.

Probably, cash aliyokuwa nayo at that moment haizidi elfu 10; sijui huko nchi jirani angeenda kwa ungo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…