Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Furaha yangu ni kwamba Muna hatofufuka kamwe.

Askari wa Jeshi la Wananchi wanapaswa kutumia akili sana na busara linapokuja suala la muingiliano na raia.

Ni ushamba mwanajeshi kutaka kila anakopita aogopwe badala ya kuheshimiwa, fanye kazi zenu heshimuni Wananchi msiwaonee kisa mna uniforms. Kila kitu hupita haya yuko wapi Afande Muna? anaacha familia bila sababu ya msingi ubabe usio na maana na kutaka sifa za kijinga.

Kwanza nashindwa kuamini kama alikuwa Afisa wa Jeshi kweli maana kwa kisa kilichosimuliwa anafanana na Private wa Jeshi aliyeanza kazi jana tena yule mshamba mshamba.
 
Tunatakiwa tufahamu kuwa duniani kote mhalifu anayetafutwa (hata mimi na wewe ikitokea ,Mungu aepushe ) hukumbwa na vitu viwili vikuu ambavyo ni :

1) Hofu (Fear): ni hali ya wasiwasi inayompata mtu au mnyama mbele ya mwingine au kingine kisichompendeza au kuhatarisha usalama wake.


2) Woga (Paranoia/ Anxiety) (Naomba nirekebishwe): ni tabia ya kupatwa na hofu kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulanifulani.

Hivyo vitu viwili hupelekea kufanya makosa ya kimkakati ambayo vyombo vya dola huvitumia kama faida kwao! Ukiwa na hivyo vitu ni lazima narudia tena ni lazima utafanya makosa.

Moja ya mafunzo ya kijasusi na machache kwa vyombo vya dola ni kukuondolea hivyo vitu vikuu viwili na kukupa vitu vipya! Baada ya kuondolewa hivi vitu huwa wanaweza kuhimili hali zote! Mimi na wewe hatuwezi!

Mfano 1: mwangalie Kikwete na marehemu Magufuli reaction zao kuhusu jambo lolote, utagundua mmoja amekasirika mwingine anatabasamu.

Unaweza kuona huyu aliyekasirika ni jasiri kumbe ni kinyume chake! Mwingine ana hisia mwingine anaigiza hisia!

Mfano 2: Mwangalie Putin na Kim wa Korea Kaskazini, namaanisha kampe taarifa Kim kuwa wanajeshi wako 1000 wamekufa halafu nenda kwa Putin kampe hiyo taarifa!

Nb: 1) Hisia hupelekea kufanya makosa!

Nb 2) Mhalifu siku zote huwa mwoga!

Nb 3) Dola halina hisia ila watu wake wana hisia!

Ni mtazamo wangu!


"The escape man is still human, he is still afraid, Fear becomes paranoia, paranoia ultimately psychosis. I bring this up because in one hundred and forty years, the fundamental mind of the escape man has not changed "- FBI Special Agent Alexander Mahone (Prison Break)
Hili nakubaliana na wewe kabisa
 
Kuna mwamba ana kesi nzito lkn huu ni mwaka hajakamatwa anaishi kiculture sana huyo jamaa.. sijui huyo Rasta alikuwa haishi kiculture
Hao ni experienced criminals but at last watadakwa tu. Utakuwa unafanya kosa kubwa kumlinganisha Kato na wahalifu kama akina Ayman Zawahir, Usama bin Laden, etc. ambao hata hivyo mwisho walidakwa au kuuwawa sembuse Kato asiye na ufahamu wa lolote la maana.
 
Kuna mwamba anaitwa Dan Cooper , aliwahi teka ndege na kudai pesa na akalipwa burungutu la pesa na akaruka kutoka kwenye ndege aliyoiteka kwa kutumia parachute
Na kutoweka na hajawahi kupatikana mpaka leo
Ni moja ya wahuni ambao waliwahi kufanikiwa kukwepa mitego yote ya vyombo vya upelelezi kama FBI pale marekani
Ni unsolved mystery mpaka leo
Alifia angani huyu mwamba alivyojump.
 
Kuna mwamba anaitwa Dan Cooper , aliwahi teka ndege na kudai pesa na akalipwa burungutu la pesa na akaruka kutoka kwenye ndege aliyoiteka kwa kutumia parachute
Na kutoweka na hajawahi kupatikana mpaka leo
Ni moja ya wahuni ambao waliwahi kufanikiwa kukwepa mitego yote ya vyombo vya upelelezi kama FBI pale marekani
Ni unsolved mystery mpaka leo
Hivi kweli mhalifu wa level ya kuteka ndege na Kato mwedesha bajaji Kawe wapi na wapi! Mbona tunafananisha visivyofananishika?
 
Hapo kwenye uvuvi nenda katika visiwa vidogo vidogo vilivyopo ziwani hasa huko Kanda ya Ziwa. Huko hakuna minara ya simu. Endelea kuvuna majarife/ makokoro bila wasiwasi.
Kuna kisiwa kinaitwa maisome kingine kinaitwa izumacheli viko kanda ya ziwa kwenye ziwa victoria sengerema ndani ndani huko aisee nina uhakika ukiweza kuingia kwenye visiwa hivyo ukatulia hawakupati aisee kwanza hakuna kituo cha polisi wa network.
 
Hapa unazungumzia Ma mbele huko siyo bongo

Kwa maana hiyo jamaa kupita mikoa yote hiyo alitembea kwa miguu?
Mbishi uswazi acha ubishi kama jina lako lilivyo.

Serikali ina mkono mrefu sana Ndugu yangu cha msingi ni kuomba tu Mungu yasikukute.

Hujiulizi yule Mjeshi aliyeuliwa nnje ya nchi South Africa baada ya kupishana na Mkuu wa nchi jirani?

Je yule aliyefanya mauaji Zanzibar afu wakaja Wataalamu toka USA wakachukua picha yake tokana na maelekezo ya aliyemshuhudia waliichora, walimtafuta na walimkamata?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Askari wa Jeshi la Wananchi wanapaswa kutumia akili sana na busara linapokuja suala la muingiliano na raia.

Ni ushamba mwanajeshi kutaka kila anakopita aogopwe badala ya kuheshimiwa, fanye kazi zenu heshimuni Wananchi msiwaonee kisa mna uniforms. Kila kitu hupita haya yuko wapi Afande Muna? anaacha familia bila sababu ya msingi ubabe usio na maana na kutaka sifa za kijinga.

Kwanza nashindwa kuamini kama alikuwa Afisa wa Jeshi kweli maana kwa kisa kilichosimuliwa anafanana na Private wa Jeshi aliyeanza kazi jana tena yule mshamba mshamba.
Kimsingi wengi wao hawana utu kutokana na kua na uwezo mdogo wa akili tena ukute na hofu ya Mungu hana ndo kabisa tunapata kilaza mwenye kibri kama Muna.
 
... eti aende kijijini mbali! Mbali ipi hiyo? Labda sio Tanzania. Unajua mabalozi wa nyumba 10 ni part of the security system ya nchi?
Wtu tumeenda visiwani huko na tumeishi vizuri tuu hata redio hazishiki, mimi naamini Tz kuna machimbo mengi ukifanikiwa kufika hawakupati ukituliza wenge.
 
Huyu mwamba alifia angani alivyoruka mkuu according to FBI.
Ok; the point is matokeo ya uhalifu ni mawili ama udakwe au ujiue/uuliwe. Ni wachache mno wanakwepa hayo mawili na Kato kwa vigezo vyovyote vile hana huo uwezo wa kuvikwepa.
 
Ok; the point is matokeo ya uhalifu ni mawili ama udakwe au ujiue/uuliwe. Ni wachache mno wanakwepa hayo mawili na Kato kwa vigezo vyovyote vile hana huo uwezo wa kuvikwepa.
Angefanikiwa kuvuka border chance ya kumkamata ingekua ndogo kama ni muhuni kweli.
 
Kiufupi polisi duniani kote wana mitambo ya kusikiliza na kukutrack popote ulipo duniani kote.

Njia rahisi wakupate wana chukuwa namba za watu wako wa karibu kupitia mtandao wa simu.

Hapa hata kama utabadilisha namba wanajua huyu ni wewe kwa kupitia njia mbili sauti yako au wanamfata alie pigiwa atowe ushahidi kama kweli alikuwa mtuhumiwa alie ongea nae.

Mtuhumiwa kosa lake mara nyingi inayo sababisha akamatwe ni kufanya mawasiliano na mzee,mke,mchumba,ndugu au marafiki. Pia kutumia kitambulisho kama Passport au Nida kwa kusafiria au kusajili namba ya simu kwa kutumia vitambulisho husika. Pia njia ya kutumia kutoa hela kwenye bank yake kwa 🏧 au tawi la bank hii hujua huyu mtu yupo eneo gani.
Polisi hawana hiyo mitambo.

Ila Wana access ya kuomba taarifa za watu kwenye mitandao ya simu
 
Mission accomplished, kumkamata Kato hakurudisha Muna back to life
Natamani marehemu Afande Muna angewaza hili kabla ya kumfanyia ubabe Rasta Mayele.
Muuwaji kakamatwa aliyekufa hatorudi duniani, kabla hujapigana au hujampiga mtu fikiria mara mbili. Usiache cheo au dhamana ya kazi yako vikupe kiburi na kumdharau mtu.
Anaweza kukuuwa ukakosa matamu ya dunia, ukawaacha familia yako wakiteseka.
 
Back
Top Bottom