Kukamatwa kwa kiwanda bubu cha mafuta ya mawese mkoani Pwani, nawapongeza Zitto na Bashe kwa hatua walizochukua

Forenaz wanazidi tu kujipenyeza at the heart of our national decision making body.
 
Mwili wako wote umejaa Pumba.
Hata huko China tunakokimbili, viwanda Kama ivi ndo wazalishaji waliowengi.
 
Hawa wata set precedence! Vyakula na dawa sio kitu cha kufanyia mchezo au majaribio.
backyard viwanda kama hivi vipo kigoma kyela na kwingine vingi tu na wengine tumekulia huko na tumetumia hayo mafuta
 
Nashukuru kwa Taarifa hii nimewasiliana na Mh DC wa kibaha nimemuomba amtafute huyu mwananchi na kumsaidia kupitia SIDO na wizara ya kilimo tuna promote “Value addition” through backyard processing hana tofauti na wale wa alizeti wanaouza Barabarani ni Jukumu letu kuwasaidia
 
Duh kumbe nabishana na kitufe cha Mpapure
Naomba niambie kosa la polisi hapo ni nini?

Naomba kujua ni hatua gani zilitakuwa kuchukuliwa na ni chombo gani kilikuwa na jukumu la kufichua?

Je, huyo mtu alivunja sheria au hakuvunja?
 
Jukumu la polisi kulinda mali na raia wake hayo mengine ya TBS na TRA
 
Mafuta ya Mawese yanayouzwa Kigoma yanakaguliwa na nani? Mafuta ya alizeti vijijini yanakaguliwa na nani? Kutetea upopoma wa Polisi unahitaji kujitoa ufahamu kama ulivyofanya wewe!
 
Viwanda vya namna hiyo mbona kule kyela viko vingi sana halafu kwani navyo vin atakuwa kusajiliwa!! vinaendeshwa locally kabisa.. ni viwanda vidogo ambavyo vinaendeshwa kifamilia kwa ajili ya kujikwamua kiuchumi...
 
Kama kuna watu ambao nilikua sielewi ni kwanini hawapewi UWAZIRI ni dogo huyu wa Nzega; namkubali sana Hussein Bashe, huyu katokea familia za kibiashara au kikulima ambaye hadi ukubwani ka practice aliojifunza utotoni. Namkubali sana Bashe, wengine wamesoma biashara lakini hatuoni elimu zao wakiwa maofisini, Bashe anaonesha elimu yake. Hongera sana, huyu jamaa hata akiwa rais kwangu naona sawa tu, ni mtu na nusu
 
Mafuta ya alizet yanayo kamuliwa huku mitaani yanakaguliwa na TBS ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…