Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Yaan ww ndio huna huwezo wa kufikiri. Na, haukutakiwa kusema hivyo. Mungu ni wa wote. Toka JPM afariki, mpaka Leo kuna watu walifanya sherehe siku ya, msiba wake. Lakin pia wamesha afariki. Kwa hiyo ww ulitakiwa umshukuru Mungu kwa kukupa uhai. Kifo sio cha kutamba kwamba ww hautakufa. Kifo ni muda wowote. Kwa, hiyo kama ww ni jambazi , au ilikuwa na vyeti fake. Jaribu tu kujirekebisha. Ili Uwe mtu mwema. Lakin ukijifanya kuwa unasherekea JPM kufa utakufa , siku si nyingi. Mungu hadhiakiwi.
I'm sure ntakufa siku moja, lkn hilo halinizuii kusherehekea kifo cha lile shetani lenu japo muda mchache wa uhai wangu.
 
Majizi, majambaz, mafisadi, wafanyakaz hewa,vyeti fake,machawa wa mafisadi. Hiyo ndio lists ya watu wapumbavu na wajinga wanaomtukana JPM mitandaoni. Mnamtukana marehemu JPM kwa kuwa hamna akili. Hamjui kuwa Yule marehemu kule mitaani na kwa wananchi ameacha symbols ambazo hazitafutika. Yaan mnataka kuwafanya wananchi wawe wajinga na wapumbavu kama nyingi ambao hamjafanya lolote zaid ya kuiba tu mali za umma na kuuwa watu??

Wapumbavu nyie, sikilizeni niwambie ukweli.Mungu ni wa wote. Mwaka 2021 alikufa JPM kuna wajinga walishangilia, lakin mpaka sasa, ni marehemu pia. Kila mtu atakufa, na hakuna atakayebaki. Kwa hiyo waambieni wapumbavu fulani ambao wamestaafu lakin wanajifanya kutupangia uongozi kwamba, Mungu wa mbinguni atawaondoa.
Wewe ni mpumbavu tu uliyeshindwa maisha,ukiona mtu mpaka leo bado kafungwa na propaganda za Jiwe eti vyeti feki jua huyo ni zaidi ya Bashite
 
Umeandika kiingereza cha kiwango kama cha PhD fake ya MaguI

Umeandika kiingereza cha kiwango kama cha PhD fake ya Magu
K


Umeandika kiingereza cha kiwango kama cha PhD fake ya Magu
You were supposed to correct my broken english in
I'm sure ntakufa siku moja, lkn hilo halinizuii kusherehekea kifo cha lile shetani lenu japo muda mchache wa uhai wangu.
Sasa huo ni upimbavu na ujinga.Hakuna duniani anayesherekea vifo.Unless otherwise uwe na cheti cha milembe. Wengi waliosherekea vifo tayari ni marehemu. Ni suala la muda tu. Wazir mmoja wa zamani alisherekea kifo cha JPM. Hakumaliza miaka miwili. Yupo ardhini pia.
 
Ubinafsi ni tatizo la watanzania walio wengi, na hii wengi inaweza kuwa zaidi ya asilimia 90.

Leo ukipewa nafasi ukaitumikia kwa uaminifu pasipo kuiba, jamii inakuona huna akili, hata mkeo anaweza kukuona huna akili.

Wezi ndio wamegeuka mashujaa nchini, wanapewa viti vya mbele hata kwenye nyumba za ibada. Hata hayo maridhiano ya mbowe na ccm yalisukumwa na ubinafsi, mbowe kaangalia atapata nini na chama chake bila kujali maslahi ya jamii pana.

Bila jamii kubadilika na kuachana na huu ubinafsi tutaendelea kwenye mzunguko huohuo hata tungebadili vyama mara ngapi.
Dhana hii ya "ubinafsi" ni ngumu.
Ninakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa.

Mfano: Dini zote, na viongozi wake karibu wote sasa ni mateka wa CCM kama tulivyo sisi raia, kwa sababu ya ubinafsi' wa hao viongozi wa dini.
Taasisi zote za kiraia, zote zinaimba nyimbo za CCM, kwa sababu zinafaidika "kibinafsi" toka kwa CCM.
Vyombo vyote vya ulinzi wa usalama wa nchi yetu, na viongozi wake wote, CCM imewateka kwa kujua jinsi ya kuwatumia viongozi hawa kwa "ubinafsi" wao na siyo kwa maslahi ya nchi

Ndiyo, huu "ubinafsi" limekuwa tatizo kubwa hapa nchini.

Sasa tufanyeje? (nawauliza hao asili mia ndogo waliobaki katika takwimu zako hapo juu).
Kumbuka, mabadiliko yoyote ndani ya nchi huwa hayaanzi na asili mia kubwa ya washiriki wanaoyaleta mabadiliko hayo. Tumaini letu liwe kwenye hii asili mia ndogo inayojali maslahi ya nchi kwanza zaidi ya ubinafsi. Na mara nyingi mabadiliko yanayoletwa na kundi hili huwa siyo ya kujipanga kwa muda mrefu; huwa yanatokea ghafla.

Tumaini letu basi tuliweke huko, kama njia nyingine za kuwaondoa waliotuweka mateka zitaendelea kuzimwa na hawa wabinafsi tulionao sasa.
 
K



You were supposed to correct my broken english in

Sasa huo ni upimbavu na ujinga.Hakuna duniani anayesherekea vifo.Unless otherwise uwe na cheti cha milembe. Wengi waliosherekea vifo tayari ni marehemu. Ni suala la muda tu. Wazir mmoja wa zamani alisherekea kifo cha JPM. Hakumaliza miaka miwili. Yupo ardhini pia.
Vifo vinasherehekewa dunia nzima. Linapokufa jitu bayq kama hilo shetani lenu la Chato huwezi kuzuia furaha za watu japo sote twajua kuwa ipo siku nasi tutaondoka. Lkn furaha yetu ni kwamba mtesi wetu keshajifia kizembe nasi tumerudisha furaha yetu.
Ushauri wa bure: kumfata Magu ni jambo rahisi na linalowezekana kuliko kudhani labda ipo siku dude lenu litarudi tena kwenye ardhi yetu
 
Vifo vinasherehekewa dunia nzima. Linapokufa jitu bayq kama hilo shetani lenu la Chato huwezi kuzuia furaha za watu japo sote twajua kuwa ipo siku nasi tutaondoka. Lkn furaha yetu ni kwamba mtesi wetu keshajifia kizembe nasi tumerudisha furaha yetu.
Ushauri wa bure: kumfata Magu ni jambo rahisi na linalowezekana kuliko kudhani labda ipo siku dude lenu litarudi tena kwenye ardhi yetu
Baba yangu alinifundisha kuwa 'Never argue with a fool, people might not notice the difference'
 
Inaonekana upo frustrated, unatafuta seheme ya kupunguza stress. Mbwa mkubwa wewe.Kafie mbali huko. Sina msaada na mashoga.atusi

Inaonekana upo frustrated, unatafuta seheme ya kupunguza stress. Mbwa mkubwa wewe.Kafie mbali huko. Sina msaada na mashoga.
Matusi ndo legacy alokuachieni lile shetani lenu la Chato.
Nshakwambia ni rahisi sana kulifata lile jitu huko kuzimu kuliko kudhani labda ipo siku litarudi tena.
Sasa hv nchi imetulia na furaha imerejea mioyoni
 
Jeshi la polisi na ndugu wameeleza huyo Jacob na Malisa wanajua kuliko ndugu?


View: https://www.youtube.com/live/Kkw66oriBPQ?si=FWu4ym-SvKG7z7iH

Kwanini unadhani sio stagging na hao ndugu ukomo wao wa kufikiri unaishia kwa kuamini kila walichoambiwa na Polisi


Muda tangu kupatikana mwili hadi kupata taarifa kwa ndugu unatosha kabisa kutengeneza matukio fake ya kuaminisha wajinga


Polisi wakiokota mwili usiotambilika kwanini wasitangaze kwamba mwili wa mtu Fulani wa jinsia Fulani ulipatatikana mahali Fulani inasemekana aligongwa na gari na wapi mwili umehifadhiwa ili kama kuna mtu anamtafuta ndugu yake aende akaangalie
Kwanini walisubiri ndugu wahangaike wenyewe ili kumpata ndugu yao

Nini kunakufanya uamini kuwa ndugu huyo anatoa taarifa hiyo pasipo maamrisho au vitisho ?
 
Wewe ni mpumbavu tu uliyeshindwa maisha,ukiona mtu mpaka leo bado kafungwa na propaganda za Jiwe eti vyeti feki jua huyo ni zaidi ya Bashite
... jitu limeporomosha Uchumi, mpaka mdororo wa sasa ni FALLOUT YA MAKOSA YAKE MENGI, halafu mijinga imekomaa ati alikuwa na sera nzuri za Uchumi!!!🤮🤮🤮
... Mungu kampendelea sana Magu kwa kumuwahisha mbele ya haki! ... ILIKUWA AIBU MBELENI!
 
Hiimbona haina itata? GJ kasema kauliwa na Polisi, ni kiasi cha luthibitisha tu. Dawa ya wavhovjezi kama hawa ni kufungwa japo kwa nusumwaka ili wasirudie! Na wenzao liwe fundisho wasijaribu.
Walichochea moto au kuni?
 
Back
Top Bottom