Majizi, majambaz, mafisadi, wafanyakaz hewa,vyeti fake,machawa wa mafisadi. Hiyo ndio lists ya watu wapumbavu na wajinga wanaomtukana JPM mitandaoni. Mnamtukana marehemu JPM kwa kuwa hamna akili. Hamjui kuwa Yule marehemu kule mitaani na kwa wananchi ameacha symbols ambazo hazitafutika. Yaan mnataka kuwafanya wananchi wawe wajinga na wapumbavu kama nyingi ambao hamjafanya lolote zaid ya kuiba tu mali za umma na kuuwa watu??
Wapumbavu nyie, sikilizeni niwambie ukweli.Mungu ni wa wote. Mwaka 2021 alikufa JPM kuna wajinga walishangilia, lakin mpaka sasa, ni marehemu pia. Kila mtu atakufa, na hakuna atakayebaki. Kwa hiyo waambieni wapumbavu fulani ambao wamestaafu lakin wanajifanya kutupangia uongozi kwamba, Mungu wa mbinguni atawaondoa.