Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Afadhali hata mimi ningebeba rungu tuone kama watatumbuiza mapolisi pekeeKwa taarifa nilizozipata Fiesta mbeya hakuna watu wana kila aina ya silaha, kuzuia fiesta. nafikiri hii ndiyo nguvu ya umma MDAU uliyokuwa unaisema
kwanza makongamano ya fiesta yanaongeza maambukizi ya ukimwi yangepigwa marufuku.
Ukiwasikia wenyewe kwenye redio yao wanavyouza meno utadhani wanaongelea kitu cha maana mno
kingereza kibovu Celebrity eti wanajiita wao watangazaji ni ma celebrate hovyooooo.