Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

lukoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
2,995
Reaction score
2,246
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
Geresha
IMG_20200707_074319_853.jpg
 
Tutajuaje? Labda aulizwe dogo wa Arumeru ikiwa zile video zilizochukuliwa na vifaa kutoka ughaibuni zilifanyiwa kazi?
 
[emoji69]......Watia nia walikua wanatoa rushwa tangu enzi za awamu zilizopita, tofauti ninayo iona sasa ni Takukuru kupewa meno na sasa hakuna mwana siasa ama mtia nia aliye juu ya sheria.
Huo ni mtazamo wangu
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
Mgawa bodaboda amechukuliwa hatua gani?
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?

Hiyo inadhihirisha kuwa wanaccm walikuwa wanampaka Magufuli mafuta kwa mgongo wa chupa, na ukweli kuwa walikuwa wanahadaa umma kuwa rushwa nchi hii imedhibitiwa uko peupe. Pia imedhihirika wazi kuwa takukuru huwa inatumika kukomoa wasio upande wa watawala, na wala hawapambani na rushwa yoyote, kwani hakuna ambaye kafikishwa mahakamani mpaka sasa. Tulisema takukururu walienda kwenye ofisi za cdm sio kuchunguza chochote, bali walienda kutekeleza siasa chafu.

Cc: Chagu wa malunde, crimea, yehodaya, kipande, patriot
 
[emoji69]......Watia nia walikua wanatoa rushwa tangu enzi za awamu zilizopita, tofauti ninayo iona sasa ni Takukuru kupewa meno na sasa hakuna mwana siasa ama mtia nia aliye juu ya sheria.
Huo ni mtazamo wangu
Uko sahihi hoja yangu wakati huu ambapo serikali inajinasibu kupunguza au komesha rushwa.
 
Inadhihirsha kuwa Magufuli ametuhadaa Watanzania kuwa anapambana na rushwa na ufisadi kumbe ni kiini macho!!

Tulisema Magufuli alikuwa hapambani na rushwa, bali anapambana na kutangazwa habari za rushwa, na kuwakomoa watu asiowapenda, ili kuhadaa umma kuwa anapambana na rushwa. Wale waliokuwa na shaka na tulichokuwa tunasema wajitokeze wakanushe, tena kwa ushahidi wa kutuonyesha wanaccm waliopandishwa mahakamani mpaka sasa. Hakuna kiongozi anayepambana na rushwa huku akinajisi box la kura.
 
[emoji69]......Watia nia walikua wanatoa rushwa tangu enzi za awamu zilizopita, tofauti ninayo iona sasa ni Takukuru kupewa meno na sasa hakuna mwana siasa ama mtia nia aliye juu ya sheria.
Huo ni mtazamo wangu

Takukuru wamepewa meno au Menu? Maana kama ni meno tungeona utitiri wa watoa rushwa kupandishwa mahakamani. Tena ukizingatia chama kinachoongoza kwa kutoa rushwa, ndio walikuwa wanamvika rais kilemba cha ukoka kuwa kaidhibiti rushwa! Ninapokuambia wamepewa menu na sio meno, fuatilia vizuri utakuta hata hao takukuru ni shehemu ya hiyo rushwa.
 
Maana yake watia nia walidhani ni kama awamu zilizotangulia
 
Inatuambia jamii bado ina mapapa wa.rushwa hasa ndani ya.chama kijani ila.kama jamii tunapumulia jitihada za magufuli na.si ajabu akiondoka tunarudi tulikotoka
 
Takukuru wamepewa meno au Menu? Maana kama ni meno tungeona utitiri wa watoa rushwa kupandishwa mahakamani. Tena ukizingatia chama kinachoongoza kwa kutoa rushwa, ndio walikuwa wanamvika rais kilemba cha ukoka kuwa kaidhibiti rushwa! Ninapokuambia wamepewa menu na sio meno, fuatilia vizuri utakuta hata hao takukuru ni shehemu ya hiyo rushwa.
Huo ni mtazamo wako mkuu, sio mbaya kwasababu kila mmoja ana mtazamo wake na kila mtazamo wa kila mmoja ni sahihi kwa mtazamo wake...[emoji69]
 
Huo ni mtazamo wako mkuu, sio mbaya kwasababu kila mmoja ana mtazamo wake na kila mtazamo wa kila mmoja ni sahihi kwa mtazamo wake...[emoji69]

Hamna cha mtazamo boss, kama kweli kuna vita ya rushwa na sio chuki binafsi dhidi ya wale wasio upande wa rais, tuone minimum wanaccm 50 wakipandishwa mahakamani.
 
Hamna cha mtazamo boss, kama kweli kuna vita ya rushwa na sio chuki binafsi dhidi ya wale wasio upande wa rais, tuone minimum wanaccm 50 wakipandishwa mahakamani.
Basi sawa..[emoji69]
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
Nguzo kuu ya ccm ni RUSHWA na UCHAWI , hawa ambao hujawasikia kwenye rushwa tambua kwamba wako kwa waganga .
 
Huo ni mtazamo wako mkuu, sio mbaya kwasababu kila mmoja ana mtazamo wake na kila mtazamo wa kila mmoja ni sahihi kwa mtazamo wake...[emoji69]
Kwa akili yako unaona kuna vita dhidi ya rushwa awamu ya 5 ? bila shaka utakuwa na mapungufu mazito sana !
 
Takukuru wamepewa meno au Menu? Maana kama ni meno tungeona utitiri wa watoa rushwa kupandishwa mahakamani. Tena ukizingatia chama kinachoongoza kwa kutoa rushwa, ndio walikuwa wanamvika rais kilemba cha ukoka kuwa kaidhibiti rushwa! Ninapokuambia wamepewa menu na sio meno, fuatilia vizuri utakuta hata hao takukuru ni shehemu ya hiyo rushwa.
Hakuna TAKUKURU ya hovyo kama ya awamu hii. Kwanza kabisa inatazama sura na pili imewekewa mipaka ya kazi. Ukishavuka daraja fulani kwa hii TAKUKURU ni kwamba hukamatiki...utakula rushwa hadi uvimbiwe lakini unadunda tu!

Ukweli ni kuwa CCM na rushwa ni kama pete na kidole, rushwa ndiyo hewa ya oxygen inayoipa CCM uhai...itokomeze rushwa na CCM itakoma kuwepo. Je, nyumba inaweza kusimama kama msingi wake umevunjwa? Jibu ni hapana!
 
Back
Top Bottom