Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

Hakuna TAKUKURU ya hovyo kama ya awamu hii. Kwanza kabisa inatazama sura na pili imewekewa mipaka ya kazi. Ukishavuka daraja fulani kwa hii TAKUKURU ni kwamba hukamatiki...utakula rushwa hadi uvimbiwe lakini unadunda tu!

Ukweli ni kuwa CCM na rushwa ni kama pete na kidole, rushwa ndiyo hewa ya oxygen inayoipa CCM uhai...itokomeze rushwa na CCM itakoma kuwepo. Je, nyumba inaweza kusimama kama msingi wake umevunjwa? Jibu ni hapana!
Ukweli mtupu !
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
Rushwa ipo ndani ya Chama Tawala hakuna anaeyepigana nayo
 
Huo ni mtazamo wako mkuu, sio mbaya kwasababu kila mmoja ana mtazamo wake na kila mtazamo wa kila mmoja ni sahihi kwa mtazamo wake...[emoji69]
Kama tungefuata mtazamo wa kila mtu tusingekwa na mpango wa kitaifa. Hata mijadala isingekuwepo maana kila mtazamo ni sahihi hata wa upuuzi tungekubali.
Tunataka mitazamo sahihi.
 
Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA.
Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
" ccm ni ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, kaka mwizi, dada mwizi,babu mwizi, bibi mwizi, mjomba mwizi, shangazi mwizi. By Mh Nassari, Ex. Mbunge wa Arumeru Mashariki.
 
Kama tungefuata mtazamo wa kila mtu tusingekwa na mpango wa kitaifa. Hata mijadala isingekuwepo maana kila mtazamo ni sahihi hata wa upuuzi tungekubali.
Tunataka mitazamo sahihi.
Tusiendekeze chuki za vyama kwenye mambo ya msingi, kwangu mimi mtu anapo wajibika lazima nimpe credit zake pasipi kujalisha susiem ama chadema
 
Hiyo inadhihirisha kuwa wanaccm walikuwa wanampaka Magufuli mafuta kwa mgongo wa chupa, na ukweli kuwa walikuwa wanahadaa umma kuwa rushwa nchi hii imedhibitiwa uko peupe. Pia imedhihirika wazi kuwa takukuru huwa inatumika kukomoa wasio upande wa watawala, na wala hawapambani na rushwa yoyote, kwani hakuna ambaye kafikishwa mahakamani mpaka sasa. Tulisema takukururu walienda kwenye ofisi za cdm sio kuchunguza chochote, bali walienda kutekeleza siasa chafu.

Cc: Chagu wa malunde, crimea, yehodaya, kipande, patriot
Post namba 5 imekujibu vizuri sana. Ila umeamua kufanya ubishi tu. Na kutaka kuaminisha watu Pccb inatumika kisiasa.
 
Post namba 5 imekujibu vizuri sana. Ila umeamua kufanya ubishi tu. Na kutaka kuaminisha watu Pccb inatumika kisiasa.

Nimemjibu vizuri sana, na nimemwambia kama ina meno tuone watu wako mahakamani. Kinyume na hapo hiyo taasisi inatumikia siasa safi. Tumesema zaidi ya mara moja, acheni kuingiza siasa chafu ndani ya jeshi, huyo jamaa mnamvalisha magwanda ya jeshi huku hana lolote kwenye kuzuia rushwa, zaidi ya kutumikia siasa chafu. Nalishauri jeshi liache kuingizwa kwenye siasa chafu, kwa ghiliba za wanasiasa wanaojifanya wazalendo.
 
Nimemjibu vizuri sana, na nimemwambia kama ina meno tuone watu wako mahakamani. Kinyume na hapo hiyo taasisi inatumikia siasa safi. Tumesema zaidi ya mara moja, acheni kuingiza siasa chafu ndani ya jeshi, huyo jamaa mnamvalisha magwanda ya jeshi huku hana lolote kwenye kuzuia rushwa, zaidi ya kutumikia siasa chafu. Nalishauri jeshi liache kuingizwa kwenye siasa chafu, kwa ghiliba za wanasiasa wanaojifanya wazalendo.
Kumbuka hawa ni watuhumiwa. Kwa hiyo usiwatie hatiani kabla ushahidi kamili haujakamilika. Subiri matokeo ya upelelezi yakamilike. Maadam awamu hii ya tano hakuna aliye juu ya sheria watapelekwa mahakamani.
 
Kumbuka hawa ni watuhumiwa. Kwa hiyo usiwatie hatiani kabla ushahidi kamili haujakamilika. Subiri matokeo ya upelelezi yakamilike. Maadam awamu hii ya tano hakuna aliye juu ya sheria watapelekwa mahakamani.

Hiyo delaying ndio hapo bargaining ya rushwa inapoanzia.
 
Awamu ipi boss, watu wanasifia ili kuzuga wapate ulaji. Mambo ya zilongwa mbali, zitendwa mbali.
Huoni kwa macho yako? Kuwa kuna wakati watu walikuwa wanaanza kuhonga kupata ubunge miaka miwili kabla ya uchaguzi. Hayo sasa hayapo.
 
Back
Top Bottom