Kukarabati ukumbi wa bunge la katiba billioni 82! Mitambo ya elektroniki ya kura ipo ya nini?

Kukarabati ukumbi wa bunge la katiba billioni 82! Mitambo ya elektroniki ya kura ipo ya nini?

makologoto

Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
38
Reaction score
27
Mimi nchi yangu inanishangaza sana. Mara nyingi huwa inaingia gharama kununua mitambo ya kisasa tena kwa majigambo makubwa lakini mara nyingi huwa haitumiki. Majuzi tuliaminishwa kuwa serikali ilikuwa halali kutumia billioni 82 kukarabati ukumbi wa bunge la katiba, ikiwa ni pamoja na kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya kielektroniki kwa ajili ya kupiga kura badala ya kunyosha mikono au kusema ndiyo na hapana. Lakini kwa masikitiko kabisa hakuna hata mjumbe mmoja amewakumbusha serikali na wajumbe kuwa mitambo ipo ya kupigia kura iliyokura hela za walipakodi waitumie. Sijui hiyo mitambo imewekwa kimapambo? Hivi kweli hicho kitufe cha kura si kinakuwa programmed tu ku register kura na akimaliza kinajizima kabisa kiasi kwamba mtu hawezi kupiga mara mbili. Labda mniambie hii kura ya siri inayopingwa na wengi wana ccm ni ya siri kielektroniki, karatasi au ikoje?
 
Mitambo iliwekwa na watu wenye akili...
Kura ra siri inatetewa na punda wa kubeba maslahi ya mafisadi...
 
Ni kampuni gani ili karabati hilo jengo?
 
Haya ni matumizi mabovu ya pesa za umma; pamoja na mapenzi yangu kwa chama cha makini CCM siafiki hata kidogo haya mambo haya ndiyo yanatia doa chama chetu; Inakuwaje mnasahau kuikarabati hospital ya Muhimbili ambayo ni kimbilio la wengi?
 
Mimi nchi yangu inanishangaza sana. Mara nyingi huwa inaingia gharama kununua mitambo ya kisasa tena kwa majigambo makubwa lakini mara nyingi huwa haitumiki. Majuzi tuliaminishwa kuwa serikali ilikuwa halali kutumia billioni 82 kukarabati ukumbi wa bunge la katiba, ikiwa ni pamoja na kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya kielektroniki kwa ajili ya kupiga kura badala ya kunyosha mikono au kusema ndiyo na hapana. Lakini kwa masikitiko kabisa hakuna hata mjumbe mmoja amewakumbusha serikali na wajumbe kuwa mitambo ipo ya kupigia kura iliyokura hela za walipakodi waitumie. Sijui hiyo mitambo imewekwa kimapambo? Hivi kweli hicho kitufe cha kura si kinakuwa programmed tu ku register kura na akimaliza kinajizima kabisa kiasi kwamba mtu hawezi kupiga mara mbili. Labda mniambie hii kura ya siri inayopingwa na wengi wana ccm ni ya siri kielektroniki, karatasi au ikoje?

Mtoa mada nadhani umesahau kuweka nukta hapo kwenye 82 bn.Ni bilioni 8.2.Bado ni pesa nyingi sana kwa ukarabati tu.Naunga mkono hoja yako ya kutumia vifaa hivyo maalum vilivyotughalimu sana.
 
Haya ni matumizi mabovu ya pesa za umma; pamoja na mapenzi yangu kwa chama cha makini CCM siafiki hata kidogo haya mambo haya ndiyo yanatia doa chama chetu; Inakuwaje mnasahau kuikarabati hospital ya Muhimbili ambayo ni kimbilio la wengi?

Wewe ndio chanzo cha yote kutetea uovu unaofanywa na serikali ya chama chako cha CCM.
 
Hapo nimetetea wapi?

Mnavyoshindaga humu kutetea uozo wa serikali yenu ukumbuki?. CCM inachukiwa sana kutokana na maisha ya wanyonge yalivyo kwa sasa bila hivyo hakuna sababu ya kuichukia
 
Mnavyoshindaga humu kutetea uozo wa serikali yenu ukumbuki?. CCM inachukiwa sana kutokana na maisha ya wanyonge yalivyo kwa sasa bila hivyo hakuna sababu ya kuichukia

CCM inachukiwa kaskazini tu kwa sababu ya ukabila na siasa za kidini walio wengi wanaikubali hata babu yako anaikubali ndio maana hadi leo hajaitupa kadi yake!
 
CCM inachukiwa kaskazini tu kwa sababu ya ukabila na siasa za kidini walio wengi wanaikubali hata babu yako anaikubali ndio maana hadi leo hajaitupa kadi yake!

Mimi sitoki kaskazini ila naichukia kishenzi hata wewe unaichukia sema basi tu utafanyaje maana hutapata ujira
 
Haya ni matumizi mabovu ya pesa za umma; pamoja na mapenzi yangu kwa chama cha makini CCM siafiki hata kidogo haya mambo haya ndiyo yanatia doa chama chetu; Inakuwaje mnasahau kuikarabati hospital ya Muhimbili ambayo ni kimbilio la wengi?


Napata tabu kuelewa hii. Hivi inawezekanaje 2014, mtu akawa na mapenzi kwa Chama Cha Mizigo?!
....Na akathubutu kutamka au kuandika.
 
Haya ni matumizi mabovu ya pesa za umma; pamoja na mapenzi yangu kwa chama cha makini CCM siafiki hata kidogo haya mambo haya ndiyo yanatia doa chama chetu; Inakuwaje mnasahau kuikarabati hospital ya Muhimbili ambayo ni kimbilio la wengi?

Bado niko kwenye mshangao..Huyu ni chama ????

Uzalendo umeanza lini??

Wengi hatuichukii CCM kwa rangi zake..Ni huu Uozo ..

Leo umeongea vizuri
 
Last edited by a moderator:
Kwa kiwango hiki hakiwezi kuwa sahihi hata kidogo,nakataa ,nakataa ,nakataa kuna baadhi ya vitu haviingii akilini kama hoja za MKAMASIMBA
 
Bado niko kwenye mshangao..Huyu ni chama ????

Uzalendo umeanza lini??

Wengi hatuichukii CCM kwa rangi zake..Ni huu Uozo ..

Leo umeongea vizuri

Kamanda unashangaa kitu gani? Hivi huamini ndani ya CCM wapo wanaCCM wenye kuitakia nchi yetu mema?
 
Last edited by a moderator:



Napata tabu kuelewa hii. Hivi inawezekanaje 2014, mtu akawa na mapenzi kwa Chama Cha Mizigo?!
....Na akathubutu kutamka au kuandika.

Mzigo unakuwa karaha pale unaposhindwa kuubeba! CCM kinajali maslahi ya wa watanzania bila kujali ukanda!
 
Haya ni matumizi mabovu ya pesa za umma; pamoja na mapenzi yangu kwa chama cha makini CCM siafiki hata kidogo haya mambo haya ndiyo yanatia doa chama chetu; Inakuwaje mnasahau kuikarabati hospital ya Muhimbili ambayo ni kimbilio la wengi?

U.pum.bavu!Unawezaje kuipenda ccm halafu unakuja kulalamika hapa eti haijakarabati Muhimbili!Si ni kwa sababu ya uzombi wako!kama hutibiwi nje ya nchi unaanzaje kuipenda CCM halafu unatangaza mbele ya wanaume?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ni bilioni 8.2 au billioni 82?
 
Back
Top Bottom