Kukarabati ukumbi wa bunge la katiba billioni 82! Mitambo ya elektroniki ya kura ipo ya nini?

Kukarabati ukumbi wa bunge la katiba billioni 82! Mitambo ya elektroniki ya kura ipo ya nini?

U.pum.bavu!Unawezaje kuipenda ccm halafu unakuja kulalamika hapa eti haijakarabati Muhimbili!Si ni kwa sababu ya uzombi wako!kama hutibiwi nje ya nchi unaanzaje kuipenda CCM halafu unatangaza mbele ya wanaume?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hivi wewe ni mwanaume?? Mbona waongea kama kigori? Mapenzi ni utashi CCM inafanya mengi tu haya mengine kukumbushana!
 
CCM inachukiwa kaskazini tu kwa sababu ya ukabila na siasa za kidini walio wengi wanaikubali hata babu yako anaikubali ndio maana hadi leo hajaitupa kadi yake!
haha kule zenj napo hivi ni kaskazini ehe..hadi CCM wakaingia mkataba kinyume na katiba....kule arusha CDm waliwapiga bao..maridhiano na mwizi yatoke wapi?
 
haha kule zenj napo hivi ni kaskazini ehe..hadi CCM wakaingia mkataba kinyume na katiba....kule arusha CDm waliwapiga bao..maridhiano na mwizi yatoke wapi?

Kilaza wewe unaongea kitu gani?
 
Kilaza wewe unaongea kitu gani?
vipi nin kimekurupua....bado mnataka kura za wazi huku mmeweka mitambo ya kielectronic..?au mitambu haina track ya viti,wataambia wachanganyike watu
 
vipi nin kimekurupua....bado mnataka kura za wazi huku mmeweka mitambo ya kielectronic..?au mitambu haina track ya viti,wataambia wachanganyike watu

Kilaza wewe unaongea kitu gani? Kura ya wazi haibadilishi matokeo; usiri huo mnaoutaka ni upi na kwa manufaa ya nani? Wao wajumbe wanachotakiwa ni kuwakilisha maoni ya wananchi; ikiwa ya siri vilaza nyie mtarudi na kusema CCM wamebadili matokeo! Kwa acheni iwe dhahiri asiyetaka na asipige kura; haya mambo yenu ya kutoka vya dhahiri vifanyike kwa siri ndio yalimfanya babu aibe mke mtu
 
Back
Top Bottom