Sema wangu, Nyuzi gani tena hizo. Yani nimekaa leo nikafikiria mara ya mwisho nimeenda lini nikagundua ni wiki. Loh!
Hhahah.., Nyuzi mbona fresh tu mwana. Aina zote........
Gaijin kasema yote. Huna fibres za kusaidia hapo. kwa kesi ya dharura kama hii tumia orange juice (natural) ila kwa sustainable solution lazima ubadili chakula. Pia tumia maji mengi (Kama 2l kwa siku).Ukosefu wa mbogamboga na matunda mwilini
Badilika
Gaijin kasema yote. Huna fibres za kusaidia hapo. kwa kesi ya dharura kama hii tumia orange juice (natural) ila kwa sustainable solution lazima ubadili chakula. Pia tumia maji mengi (Kama 2l kwa siku).
Nina wiki jamani sijakata GOGO!!
Asubuhi: Chai na mihogo/chapati etc home.
Mchana: Chips Kitimoto Survey migombani/Chips Makange Rozi garden/Ugali nyama choma pale Hongera.
Usiku:Ugali/wali nyama/maini/mchicha na matunda home mamsap plus Lager moja au mbili hivi kabla ya kulala.
Hivi vitu vyote vimeenda wapi jamani: Nimekula hewa au nina Pepo mie.
Kiafya: Rate ya kwenda Chooni inatakiwa iweje wajameni! Loh!!
Tiba: Pata mara 2 kwa siku 7 mchanganyiko wa supu ya kuku mweusi aliyepikwa na manyoya yake. Kwa siku 2 za mwanzo pata glasi 2 za mkojo wa punda jike ushushie na 2 baridiiii.
Nakuhakikishia hilo tatizo na mengine yatakuwa ndio mwisho wake.
Tiba: Pata mara 2 kwa siku 7 mchanganyiko wa supu ya kuku mweusi aliyepikwa na manyoya yake. Kwa siku 2 za mwanzo pata glasi 2 za mkojo wa punda jike ushushie na 2 baridiiii.
Nakuhakikishia hilo tatizo na mengine yatakuwa ndio mwisho wake.
Usirudie tena kusema lager ni kama maji, maji ni h20, siyo kila kimiminika ni maji!, lager ni maji fulani machafu ambayo mwili hauyahitaji ili kuishi. Kumbuka siku zote HAKUNA MUBADALA WA MAJI, MAJI NI MAJI, zaidi ni kuwa maji ni UHAI. http://maajabuyamaji2.artisteer.net/kwanini-unahitaji-maji-kila-siku/Shukurani moderator wangu. lakini Lager vipi si kama maji tu. Mbili kila siku!!
Usirudie tena kusema lager ni kama maji, maji ni h20, siyo kila kimiminika ni maji!, lager ni maji fulani machafu ambayo mwili hauyahitaji ili kuishi. Kumbuka siku zote HAKUNA MUBADALA WA MAJI, MAJI NI MAJI, zaidi ni kuwa maji ni UHAI. http://maajabuyamaji2.artisteer.net/kwanini-unahitaji-maji-kila-siku/
Alkoholi kilevi kilichomo kwenye lager ni kikojoshi (diuretic), alkoholi ni wakala mkausha maji mwilini, ukinywa lager glasi 1 muda si mrefu utaenda kukojoa mkojo wa glasi 2, yaani 1 ya lager uliyokunywa jumlisha maji mengine toka mwilini kwako! kwahiyo utakaukiwa maji mara 2, na maji ni uhai, na hiyo ndiyo sababu ya kufunga choo (constipation). acha kwanza lager unywe maji glasi 8 kwa siku (glasi 1 = 250 ml), kula matunda na mboga majani kwa wingi. balanced diet haimaanishi uwezo wa kununua nyama!.