Just thinking loud,
Anawezakua alidanganywa kwenye utetezi
Alipewa chochote ili aweke maamuzi ya kuegemea upande
Uwezo wake wa kufikiria ulifika mwisho na ndio maamuzi aliyoyaona ni sahihi
Ama waliokwenye mahakama ya rufaa wanauwezo zaidi yake kupambanua mambo
Adhabu
Mojawapo ni kutokupandishwa cheo kwa sababu ya kua na maamuzi yenye utata
Mimi hayo ni mawazo yangu