meidimu sirkon
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 202
- 37
Kutokana hukumu mbalimbali ambazo imeamuliwa na mahakama ya mwanzo na baadae kukatiwa rufaa ambayo itampatia mrufani ushindi Itakuwaje kwa hakimu wa mahakama ya mwanzo alietoa hukumu?Sheria inamweka wapi Hakimu au Jaji anaetoa hukumu batili?