Kukata umeme siku mbili mfululizo haikubaliki

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Mmekuwa mnakata leo kesho upo. Tulikubaliana na hilo. Tukasema tutavumilia na tukaweka sawa ratiba zetu. Sasa huu utaratibu wa kukata siku mbili mfululizo inakuwaje? Kuweni serious na maisha ya watu.
 
Kuwa wavumilivu mliambiwa kina cha maji kimepungua subiri mvua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…