Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie kwanza kama umemkubalia yule jamaa wa JF alietangaza kukutaka![emoji30].......anadai eti wewe ni very cute![emoji30] [emoji30] [emoji30]Hivi huwa hamuuoni huu uzi wa Anti Zenab?
Udongo wa huyu mama ni mwisho wa matatizo yote ya nywele na mapele mwilini. Mimi ni shahidi: http://www.jamiiforums.com/threads/unatokwa-na-nywele-una-kipara-jionee-maajabu-ya-aunt-zaynabs-natural-super-clay.887152/page-20
Ncha za nywele zinakataje nywele?Mara ya mwisho nncha umekata Lin??
Mara ya mwisho nncha umekata Lin??
Usipokata ncha nywele zinakuwa weak, nazikiwa weak outcome yake si nzuri.Ncha za nywele zinakataje nywele?
Nieleweshwe tafadhali
Sio kweli.Usipokata ncha nywele zinakuwa weak, nazikiwa weak outcome yake si nzuri.
Tumia mafuta haya hakika hakuna unywele wako hata mmoja utakatika![emoji116]
Kukata ncha kipaji na hizi nywele za kudunduliza ni hatari ila mimi nilijaribu mara moja nikaona kama zinakua vileMara ya mwisho nncha umekata Lin??