Kukatwa kilimi(kimeo)

Osmokalu

Senior Member
Joined
Nov 13, 2015
Posts
186
Reaction score
148
Doctors msada wenu,mwanangu amekatwa kilimi leo siku ya tatu lakini bado analalamika maumivu ile hali mwenzie alie katwa siku moja yeye yuko vizuri.Ni dawa gani itamsaidia kumpa unafuu kama si kupona kabisa.Shukrani zenu
 
Doctors msada wenu,mwanangu amekatwa kilimi leo siku ya tatu lakini bado analalamika maumivu ile hali mwenzie alie katwa siku moja yeye yuko vizuri.Ni dawa gani itamsaidia kumpa unafuu kama si kupona kabisa.Shukrani zenu
Kakatwa hospitali? Au kakatwa kwa waganga wa kienyeji
 
Hivi kwanini Huwa mnavikata?
 
Kuna mtoto alikatwa kimeo mwezi uliopita ikapelekea akazidiwa hadi akafariki. Wapelekeni Hospitali watoto wenu wanaokohoa ili wakatibiwe. Sio kuendekeza hizi imani zenu.
 
Kuna mtoto alikatwa kimeo mwezi uliopita ikapelekea akazidiwa hadi akafariki. Wapelekeni Hospitali watoto wenu wanaokohoa ili wakatibiwe. Sio kuendekeza hizi imani zenu.
Nashkuru kwa ushauri
 
Doctors msada wenu,mwanangu amekatwa kilimi leo siku ya tatu lakini bado analalamika maumivu ile hali mwenzie alie katwa siku moja yeye yuko vizuri.Ni dawa gani itamsaidia kumpa unafuu kama si kupona kabisa.Shukrani zenu
kilimi ndo nini?
 
Doctors msada wenu,mwanangu amekatwa kilimi leo siku ya tatu lakini bado analalamika maumivu ile hali mwenzie alie katwa siku moja yeye yuko vizuri.Ni dawa gani itamsaidia kumpa unafuu kama si kupona kabisa.Shukrani zenu

Sasa mzee wewe great thinker gani unamkata kata mwanao hovyo hovyo viungo sensintive namna hiyo? Yaani seriously umemchukua mtoto wako na kumpeleka kwa mtu asiye na shule akamkate kate kwenye koo?? Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…