rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
Salam wana JF,
Naomba msaada wa wenu.
Nina mzee wangu(75yrs) ana tatizo la mate kukauka,kwa hiyo anakunywa maji mengi ili mdomo usikauke.
Je huu ni ugonjwa?Au kuna mwenye kujua tiba yake?
Natanguliza shukurani.
RE.
Naomba msaada wa wenu.
Nina mzee wangu(75yrs) ana tatizo la mate kukauka,kwa hiyo anakunywa maji mengi ili mdomo usikauke.
Je huu ni ugonjwa?Au kuna mwenye kujua tiba yake?
Natanguliza shukurani.
RE.