kukauka mate mdomoni ni ugonjwa gani?

kukauka mate mdomoni ni ugonjwa gani?

rakeyescarl

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2007
Posts
481
Reaction score
147
Salam wana JF,
Naomba msaada wa wenu.
Nina mzee wangu(75yrs) ana tatizo la mate kukauka,kwa hiyo anakunywa maji mengi ili mdomo usikauke.
Je huu ni ugonjwa?Au kuna mwenye kujua tiba yake?
Natanguliza shukurani.
RE.
 
Back
Top Bottom