Hii ilitumiwa na wabibi ili watu wasitoke nje ya ndoa na watumia muda kutunza watoto. Watoto kuanzia miezi sita mahitaji yao ya virutubish huongezeka na asipopata proper feeding(quality, quantinty,feeding frequency,) na huduma bora za afya inapelekea kupata utapiamlo. Marasmus (unyafuzi) ukosefu/upungufu wa nishati mwilini na husababisha metabolic activities kuwa slow. KWASHIORKOR ni ukosefu/upungufu wa protein mwilini. Pia hivi huambatana na micronutrient deficiencies kama madini na vitamins. Kwa pamoja mtoto hukonda, nywele huwa za nyepesi za gold, kitumbo cha chinichini, ****** hutepeta na kuning'inia, uso kama mbalamwezi, uzito mdogo kwa urefu wake,hana apetite ,kuvimba,kwa kwashiorkor, apetite kubwa kwa marasmus. Hii pia huathiri ukuaji na ufanyaji kazi wa ubongo. mtoto huwa mnyonge, anajitenga, hachezi, nk. Hapo ndio mama huambiwa kambemenda mtoto.