Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Salaam
Jana nilishuhudia mtanange wa nusu fainali ya COSAFA kati ya Zimbabwe na Lesotho ulioshia kwa suluhu hadi filimbi ya mwisho ya dakika za kawaida
Hatua ya matuta golikipa wa Zimbawe alidaka 2 na kufungwa moja ilihali wao walipata zote
Penati ya nne ya Lesotho ndo msingi wa mada yangu maana mpigaji alikwenda akakishi kama anapiga kipa akalala halafu akafunga kilaini, kilichotokea mwamuzi alimfuata na kumpa kadi ya Njano na kumaliza mpira kumaanisha wazim wameshinda
Nakumbuka hii sheria iliwahi kuondolewa kwa kukishi si kosa...............MSAADA ZAIDI
Jana nilishuhudia mtanange wa nusu fainali ya COSAFA kati ya Zimbabwe na Lesotho ulioshia kwa suluhu hadi filimbi ya mwisho ya dakika za kawaida
Hatua ya matuta golikipa wa Zimbawe alidaka 2 na kufungwa moja ilihali wao walipata zote
Penati ya nne ya Lesotho ndo msingi wa mada yangu maana mpigaji alikwenda akakishi kama anapiga kipa akalala halafu akafunga kilaini, kilichotokea mwamuzi alimfuata na kumpa kadi ya Njano na kumaliza mpira kumaanisha wazim wameshinda
Nakumbuka hii sheria iliwahi kuondolewa kwa kukishi si kosa...............MSAADA ZAIDI