Kukishi wakati unapiga penati ni kosa?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Salaam

Jana nilishuhudia mtanange wa nusu fainali ya COSAFA kati ya Zimbabwe na Lesotho ulioshia kwa suluhu hadi filimbi ya mwisho ya dakika za kawaida

Hatua ya matuta golikipa wa Zimbawe alidaka 2 na kufungwa moja ilihali wao walipata zote

Penati ya nne ya Lesotho ndo msingi wa mada yangu maana mpigaji alikwenda akakishi kama anapiga kipa akalala halafu akafunga kilaini, kilichotokea mwamuzi alimfuata na kumpa kadi ya Njano na kumaliza mpira kumaanisha wazim wameshinda

Nakumbuka hii sheria iliwahi kuondolewa kwa kukishi si kosa...............MSAADA ZAIDI

 

Mkuu naona na wewe umeamua kukishi kwenye video uliyotuwekea, nilitegemea niione hiyo penati.

Kula njano.
 
daaah umenchekesha sana mkuu ........Hii ndo maana haswaaaaaya KUKISHI
Haa haa kabsa mkuu hyo ndo
Maanake Ila huyo mpigaj. Zuzu
Kuliko gol Kipa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…