Cesar Saint
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 423
- 726
Biashara ya dawa ni tofauti na biashara nyingine na ndio maana hata INCB kwenye vikao vyake kila mara wanajaribu kuboresha sera na mbinu za kukabiliana na athari za matumizi ya dawa (narcotics na pyschotropic substances) .
Kinachotokea ni “Matumizi mabaya” ya dawa husika maana miongoni mwa dawa zinazotumiwa vibaya zipo ambazo hata sasa hutumika kwenye tiba .
Ndio maana wazungu wanamsemo wao “Monkey on your back” yaani ukianza kutumia vibaya dawa hizi yaani si rahisi kuachana nazo kwa jitihada zako mwenyewe unahitaji msaada .
Tena kuna watu wengi wenye heshima kwenye jamii na wametumbukia kwenye hii kasumba ya uraibu na hawana msaada.
Ukiwa na ndugu au jamaa ambaye ni mraibu njia ya kumsaidia ni kumsimamia katika matibabu ya uraibu (methadone and behavior therapy) kisha akianza “get clean” mpatie shughuli na umsimamie mpaka hapo atakapo kaa sawa .
Kinachotokea ni “Matumizi mabaya” ya dawa husika maana miongoni mwa dawa zinazotumiwa vibaya zipo ambazo hata sasa hutumika kwenye tiba .
Ndio maana wazungu wanamsemo wao “Monkey on your back” yaani ukianza kutumia vibaya dawa hizi yaani si rahisi kuachana nazo kwa jitihada zako mwenyewe unahitaji msaada .
Tena kuna watu wengi wenye heshima kwenye jamii na wametumbukia kwenye hii kasumba ya uraibu na hawana msaada.
Ukiwa na ndugu au jamaa ambaye ni mraibu njia ya kumsaidia ni kumsimamia katika matibabu ya uraibu (methadone and behavior therapy) kisha akianza “get clean” mpatie shughuli na umsimamie mpaka hapo atakapo kaa sawa .