Leo ndio nimejua kuwa jaji Ni KETabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
yanaingilia pale ferry, nyumba nyeupe pale magogoni na ndio maana maji yakipungua unasikia harufu mbaya ya mizoga, wanao toa mimba na kila kitu.
Njooni jamani kikojozi wa kwenye swimming pool huyu hapa!Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakyna mtu huyo
HahahahahahHadi kimba?
Ndio maana watu wanafanya high pricing ili kupunguza watu wa namna iyo. Unapiga mbizi unaibukia juu na kimba ukiwa mdomo wazi😷😷😃😃
Nenda sehemu ambazo nzi hazipo kabisa. Si unajua kupunguza Sana uchafu mkuu. Kuna siku nimeenda rock beach niogelee niliyokutana nayo nilihairisha. Watt wa mtaani wanaoishi kule mlimani kapri point,kiingilio afu 3, nikaamua siku ingine niende malaika nilienjoi Sana. Bei yao ni alfu kumi kuogelea tu ulitaka bufee ni 25,Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Hata mm nimeshtuka balaaLeo ndio nimejua kuwa jaji Ni KE
Duh nilikua sijui kama wewe ni KeTabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
Wewe unalalamika kukojoa ndani ya swimming pool mbona hiki ni cha mtoto, mwaka juzi nilipeleka wanangu kuswimm pale Wet n Wild yaani sikuamini macho yangu. Niliona kitu kinalelea na kuelekea mgongoni mwa mwanangu, kwenda kuangalia kumbe ilikuwa ni kipande cha mavi kuna mtu alijiachia mle ndani. Think of that.Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Mimi sijawahi.Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
Huenda akawa mwanaume huyu Mana ht mwandiko wake Ni kiumeHata mm nimeshtuka balaa