Natambua mpaka mzigo uishe ndo tunaweza pata hesabu za faida na hasara vinginevyo itakuwa tuna assume tu. Ila kama inawezekana unaweza nipatia formula ili nione inavyokuwa.
Kuna hizi bidhaa hapa
Bidhaa zinazokuwa kwenye package moja ila zinauzwa moja moja labda ndani ya package ziko mia na zilinunuliwa kwa 2000 na kila kimoja kinauzwa kwa shilingi 50 ambapo vikiisha faida inakuwa 3000.
Je kama nimeuza 10 kwa siku na vikabaki 80 naweza kokotoa faida au nivumilie mpaka viishe
Si mtaalamu kwenye kuuza au biashara pia nisaidie kuhusu kuuza kiisahihi
Kuna hizi bidhaa hapa
Bidhaa zinazokuwa kwenye package moja ila zinauzwa moja moja labda ndani ya package ziko mia na zilinunuliwa kwa 2000 na kila kimoja kinauzwa kwa shilingi 50 ambapo vikiisha faida inakuwa 3000.
Je kama nimeuza 10 kwa siku na vikabaki 80 naweza kokotoa faida au nivumilie mpaka viishe
Si mtaalamu kwenye kuuza au biashara pia nisaidie kuhusu kuuza kiisahihi