Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Habarini za leo great thinkers,
Habarini za jumapili,

Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli mwezi wa sita 2022 itakavyokuwa mara tu baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100.

Naomba nianze hivi.

Nanukuu maelezo ya waziri wa nishati Mh. January Makamba ili hesabu zangu ziende vizuri.

"Waziri Makamba aliongeza kuwa hadi kufikia Aprili 1, 2022 petroli iliyokuwa kwenye maghala ni jumla ya lita 118,594,024 yanayotosheleza siku 27, dizeli lita 116,486,705 yanatosheleza siku 19, Mafuta ya taa lita 6,823,710 yanatosheleza siku 108 na Mafuta ya ndege lita 12,841,822 yanatosheleza siku 35.

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 118,594,024 × 30) ÷ 27
= lita 131,771,137.778 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 116,486,705 × 30) ÷ 19
= lita 183,926,376.316 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya taa kwa siku 30
= (lita 6,823,710 × 30) ÷ 108
= lita 1,895,475 za mafuta ya taa kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya ndege kwa siku 30
= (lita 12,841,822 × 30) ÷ 35
= lita 11,007,276 za mafuta ya ndege kwa siku 30

Tuhakikishe kama kweli hesabu zetu kama zimekwenda sawa kupitia maelezo ya Mh January Makamba. Nanukuu

"Vilevile kuna meli ambazo zimewasili nchini na zinaendelea kushusha mafuta zikiwa na lita 86,256,000 za dizeli.

Hivyo kwa kuzingatia mafuta yaliyokuwepo tarehe 01 Aprili 2022 nchi itakuwa na jumla ya lita 202,742,705 za mafuta ya dizeli zitakazotosheleza matumizi ya nchi kwa siku 33."

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 202,742,705 × 30) ÷ 33
= lita 184,311,550 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

"hivyo nchi itakuwa na jumla ya lita 189,979,324 za mafuta ya petroli yakutosheleza siku 37".

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 189,979,324 × 30) ÷ 37
= lita 154,037,289.73 za mafuta ya petroli kwa siku 30


Hesabu za mafuta ya dizeli zimetofautiana kidogo hivyo inabidi tutafute wastani.

Wastani wa matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 131,771,137.778+ lita 154,037,289.73)÷2
= lita 142,904,213.754 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Wastani wa matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 183,926,376.316+184,311,550)÷2
= lita 184,118,963.158 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Endapo kama ruzuku ya billioni 100 (100B) iliyotolewa ni kwaajili ya mwezi mmoja tu (siku 30) na ni kwa mafuta ya petroli na dizeli tu

Jumla ya matumizi ya petroli na dizeli kwa siku 30
= lita 142,904,213.754 za petroli + 184,118,963.158 za dizeli
Jumla = lita 327,023,176.912

Jumla ya Ruzuku iliyotolewa kwa mwezi (siku 30)
Tsh Billioni 100 = Tsh 100,000,000,000

Endapo bei ya mafuta haitabadilika katika soko la dunia mwezi wa sita.

Ruzuku kwa lita moja ya mafuta
Ruzuku kwa lita = Jumla ya Ruzuku kwa mwezi (siku 30) ÷ Jumla ya matumizi ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi (siku 30)
= Tsh 100,000,000,000 ÷ lita 327,023,176.912
= Tsh 305.78 kwa lita

Bei ya mafuta baada ya ruzuku
= Bei ya kamili - Ruzuku kwa lita
= Bei kamili - Tsh 305.78

Hivyo:
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 305.78

Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93

Lakini pia punguzo litakua hivyo endapo kama matumizi ya mafuta kwa mwezi au siku 30 ni sahihi na bei ya mafuta katika soko la dunia haitabadilika mwezi wa sita.



Bright and Genius Editors
Ni waandishi na wahariri wa documents mbalimbali
Tovuti: www.bgeditors.com
Barua pepe: bandg.editors@gmail.com/contact@bgeditors.com
Call/Whatsapp: +255687746471/+255612607426
 
Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Habarini za leo great thinkers,
Habarini za jumapili,

Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli mwezi wa sita 2022 itakavyokuwa mara tu baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni
100.

Naomba nianze hivi.

Nanukuu maelezo ya waziri wa nishati Mh. January Makamba ili hesabu zangu ziende vizuri.

"Waziri Makamba aliongeza kuwa hadi kufikia Aprili 1, 2022 petroli iliyokuwa kwenye maghala ni jumla ya lita 118,594,024 yanayotosheleza siku 27, dizeli lita 116,486,705 yanatosheleza siku 19, Mafuta ya taa lita 6,823,710 yanatosheleza siku 108 na Mafuta ya ndege lita 12,841,822 yanatosheleza siku 35.

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 118,594,024 × 30) ÷ 27
= lita 131,771,137.778 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 116,486,705 × 30) ÷ 19
= lita 183,926,376.316 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya taa kwa siku 30
= (lita 6,823,710 × 30) ÷ 108
= lita 1,895,475 za mafuta ya taa kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya ndege kwa siku 30
= (lita 12,841,822 × 30) ÷ 35
= lita 11,007,276 za mafuta ya ndege kwa siku 30

Tuhakikishe kama kweli hesabu zetu kama zimekwenda sawa kupitia maelezo ya Mh January Makamba. Nanukuu

"Vilevile kuna meli ambazo zimewasili nchini na zinaendelea kushusha mafuta zikiwa na lita 86,256,000 za dizeli. Hivyo kwa kuzingatia mafuta yaliyokuwepo tarehe 01 Aprili 2022 nchi itakuwa na jumla ya lita 202,742,705 za mafuta ya dizeli zitakazotosheleza matumizi ya nchi kwa siku 33."

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 202,742,705 × 30) ÷ 33
= lita 184,311,550 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

"hivyo nchi itakuwa na jumla ya lita 189,979,324 za mafuta ya petroli yakutosheleza siku 37".

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 189,979,324 × 30) ÷ 37
= lita 154,037,289.73 za mafuta ya petroli kwa siku 30


Hesabu za mafuta ya dizeli zimetofautiana kidogo hivyo inabidi tutafute wastani.

Wastani wa matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 131,771,137.778+ lita 154,037,289.73)÷2
= lita 142,904,213.754 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Wastani wa matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 183,926,376.316+184,311,550)÷2
= lita 184,118,963.158 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Endapo kama ruzuku ya billioni 100 (100B) iliyotolewa ni kwaajili ya mwezi mmoja tu (siku 30) na ni kwa mafuta ya petroli na dizeli tu

Jumla ya matumizi ya petroli na dizeli kwa siku 30
= lita 142,904,213.754 za petroli + 184,118,963.158 za dizeli
Jumla = lita 327,023,176.912

Jumla ya Ruzuku iliyotolewa kwa mwezi (siku 30)
Tsh Billioni 100 = Tsh 100,000,000,000

Endapo bei ya mafuta haitabadilika katika soko la dunia mwezi wa sita.

Ruzuku kwa lita moja ya mafuta
Ruzuku kwa lita = Jumla ya Ruzuku kwa mwezi (siku 30) ÷ Jumla ya matumizi ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi (siku 30)
= Tsh 100,000,000,000 ÷ lita 327,023,176.912
= Tsh 305.78 kwa lita

Bei ya mafuta baada ya ruzuku
= Bei ya kamili - Ruzuku kwa lita
= Bei kamili - Tsh 305.78

Hivyo:
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 305.78

Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93

Lakini pia punguzo litakua hivyo endapo kama matumizi ya mafuta kwa mwezi au siku 30 ni sahihi na bei ya mafuta katika soko la dunia haitabadilika mwezi wa sita.
 
Punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B) hesabu zinaweza kuwa hivi

Habarini za leo great thinkers,
Habarini za jumapili, kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuipongeza serikali kwa kuweka ruzuku kwenye bei za mafuta ili kupunguza bei. Naomba moja kwa moja niingie kwenye mada.

Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli mwezi wa sita 2022 itakavyokuwa mara tu baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni
100.

Naomba nianze hivi.

Nanukuu maelezo ya waziri wa nishati Mh. January Makamba ili hesabu zangu ziende vizuri.

"Waziri Makamba aliongeza kuwa hadi kufikia Aprili 1, 2022 petroli iliyokuwa kwenye maghala ni jumla ya lita 118,594,024 yanayotosheleza siku 27, dizeli lita 116,486,705 yanatosheleza siku 19, Mafuta ya taa lita 6,823,710 yanatosheleza siku 108 na Mafuta ya ndege lita 12,841,822 yanatosheleza siku 35.

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 118,594,024 × 30) ÷ 27
= lita 131,771,137.778 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 116,486,705 × 30) ÷ 19
= lita 183,926,376.316 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya taa kwa siku 30
= (lita 6,823,710 × 30) ÷ 108
= lita 1,895,475 za mafuta ya taa kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya ndege kwa siku 30
= (lita 12,841,822 × 30) ÷ 35
= lita 11,007,276 za mafuta ya ndege kwa siku 30

Tuhakikishe kama kweli hesabu zetu kama zimekwenda sawa kupitia maelezo ya Mh January Makamba. Nanukuu

"Vilevile kuna meli ambazo zimewasili nchini na zinaendelea kushusha mafuta zikiwa na lita 86,256,000 za dizeli. Hivyo kwa kuzingatia mafuta yaliyokuwepo tarehe 01 Aprili 2022 nchi itakuwa na jumla ya lita 202,742,705 za mafuta ya dizeli zitakazotosheleza matumizi ya nchi kwa siku 33."

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 202,742,705 × 30) ÷ 33
= lita 184,311,550 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

"hivyo nchi itakuwa na jumla ya lita 189,979,324 za mafuta ya petroli yakutosheleza siku 37".

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 189,979,324 × 30) ÷ 37
= lita 154,037,289.73 za mafuta ya petroli kwa siku 30


Hesabu za mafuta ya dizeli zimetofautiana kidogo hivyo inabidi tutafute wastani.

Wastani wa matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 131,771,137.778+ lita 154,037,289.73)÷2
= lita 142,904,213.754 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Wastani wa matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 183,926,376.316+184,311,550)÷2
= lita 184,118,963.158 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Endapo kama ruzuku ya billioni 100 (100B) iliyotolewa ni kwaajili ya mwezi mmoja tu (siku 30) na ni kwa mafuta ya petroli na dizeli tu

Jumla ya matumizi ya petroli na dizeli kwa siku 30
= lita 142,904,213.754 za petroli + 184,118,963.158 za dizeli
Jumla = lita 327,023,176.912

Jumla ya Ruzuku iliyotolewa kwa mwezi (siku 30)
Tsh Billioni 100 = Tsh 100,000,000,000

Endapo bei ya mafuta haitabadilika katika soko la dunia mwezi wa sita.

Ruzuku kwa lita moja ya mafuta
Ruzuku kwa lita = Jumla ya Ruzuku kwa mwezi (siku 30) ÷ Jumla ya matumizi ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi (siku 30)
= Tsh 100,000,000,000 ÷ lita 327,023,176.912
= Tsh 305.78 kwa lita

Bei ya mafuta baada ya ruzuku
= Bei ya kamili - Ruzuku kwa lita
= Bei kamili - Tsh 305.78

Hivyo:
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 305.78

Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93

Lakini pia punguzo litakua hivyo endapo kama matumizi ya mafuta kwa mwezi au siku 30 ni sahihi na bei ya mafuta katika soko la dunia haitabadilika mwezi wa sita.
 
Kwa hiyo kwa bei elekezi tuliyopewa sasa tuseme inaakisi uhalisia endapo kama 100 bil ni kwa mwezi jun pekee,tuombe sana bei ya mafuta soko la dunia isipande.
 
Hapo hakuna punguzo lolote pamoja na mahesabu mengi ,,,,, angepunguza mlolongo wa tozo kwenye mafuta tungepata punguzo hadi bei ya ptrol angalau 2500
Punguzo la 2500 Tsh mkuu, are seriously with business😂😂😂😂😂😂😂
 
Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93
Hakuna tamko la kwamba hiyo 100bn ita-kava miezi mingapi hivyo tuna-ashumu ni mwezi mmoja tu, kama ndivyo, kwa punguzo la 305.78, tunataka tuone bei ya Petrol iwe 3,148 - 305.78 = 2,842.22
 
Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Habarini za leo great thinkers,
Habarini za jumapili,

Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli mwezi wa sita 2022 itakavyokuwa mara tu baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni
100.

Naomba nianze hivi.

Nanukuu maelezo ya waziri wa nishati Mh. January Makamba ili hesabu zangu ziende vizuri.

"Waziri Makamba aliongeza kuwa hadi kufikia Aprili 1, 2022 petroli iliyokuwa kwenye maghala ni jumla ya lita 118,594,024 yanayotosheleza siku 27, dizeli lita 116,486,705 yanatosheleza siku 19, Mafuta ya taa lita 6,823,710 yanatosheleza siku 108 na Mafuta ya ndege lita 12,841,822 yanatosheleza siku 35.

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 118,594,024 × 30) ÷ 27
= lita 131,771,137.778 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 116,486,705 × 30) ÷ 19
= lita 183,926,376.316 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya taa kwa siku 30
= (lita 6,823,710 × 30) ÷ 108
= lita 1,895,475 za mafuta ya taa kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya ndege kwa siku 30
= (lita 12,841,822 × 30) ÷ 35
= lita 11,007,276 za mafuta ya ndege kwa siku 30

Tuhakikishe kama kweli hesabu zetu kama zimekwenda sawa kupitia maelezo ya Mh January Makamba. Nanukuu

"Vilevile kuna meli ambazo zimewasili nchini na zinaendelea kushusha mafuta zikiwa na lita 86,256,000 za dizeli. Hivyo kwa kuzingatia mafuta yaliyokuwepo tarehe 01 Aprili 2022 nchi itakuwa na jumla ya lita 202,742,705 za mafuta ya dizeli zitakazotosheleza matumizi ya nchi kwa siku 33."

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 202,742,705 × 30) ÷ 33
= lita 184,311,550 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

"hivyo nchi itakuwa na jumla ya lita 189,979,324 za mafuta ya petroli yakutosheleza siku 37".

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 189,979,324 × 30) ÷ 37
= lita 154,037,289.73 za mafuta ya petroli kwa siku 30


Hesabu za mafuta ya dizeli zimetofautiana kidogo hivyo inabidi tutafute wastani.

Wastani wa matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 131,771,137.778+ lita 154,037,289.73)÷2
= lita 142,904,213.754 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Wastani wa matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 183,926,376.316+184,311,550)÷2
= lita 184,118,963.158 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Endapo kama ruzuku ya billioni 100 (100B) iliyotolewa ni kwaajili ya mwezi mmoja tu (siku 30) na ni kwa mafuta ya petroli na dizeli tu

Jumla ya matumizi ya petroli na dizeli kwa siku 30
= lita 142,904,213.754 za petroli + 184,118,963.158 za dizeli
Jumla = lita 327,023,176.912

Jumla ya Ruzuku iliyotolewa kwa mwezi (siku 30)
Tsh Billioni 100 = Tsh 100,000,000,000

Endapo bei ya mafuta haitabadilika katika soko la dunia mwezi wa sita.

Ruzuku kwa lita moja ya mafuta
Ruzuku kwa lita = Jumla ya Ruzuku kwa mwezi (siku 30) ÷ Jumla ya matumizi ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi (siku 30)
= Tsh 100,000,000,000 ÷ lita 327,023,176.912
= Tsh 305.78 kwa lita

Bei ya mafuta baada ya ruzuku
= Bei ya kamili - Ruzuku kwa lita
= Bei kamili - Tsh 305.78

Hivyo:
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 305.78

Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93

Lakini pia punguzo litakua hivyo endapo kama matumizi ya mafuta kwa mwezi au siku 30 ni sahihi na bei ya mafuta katika soko la dunia haitabadilika mwezi wa sita.
Kwa takwimu hizo hizo za J. Makamba, kwenye ukokotoaji wako:

1. Tumia cif price ya Sh 2,100 kama tulivyoambiwa na waziri.
Utapata Sh 686.7 billion ndiyo cif price ya kuyafikisha hayo mafuta ya lita 327,023,177 hadi DSM. Hii ni sawa na Sh 1,794 kwa lita.

2. Ongeza Sh 160 ya faida ya waagizaji (mawakala) kwa lita na Sh 118 kwa retailers. Pia ongeza tozo za serikali za miradi ya maendeleo ie barabara, maji, reli, umeme vijijini na bwawa la umeme la Julius Nyerere ambazo kwa jumla ni Sh 280 kama tulivyoambiwa na Makamba.
Utapata Sh 2,352 kwa lita. Tozo zingine za serikali kwenye bidhaa hii tuliambia zitaahirishwa hadi vita ya Russia na Ukraine itakapoisha.

3. Tozo ya forodha inaweza kuwa ngumu kwa serikali kuiahirisha. Tozo hii ni Sh 255 kwa lita. Hivyo kuifanya bei kuwa Sh 2,607 kwa lita.

NB: Wizara ya nishati inaekea haina takwimu sahihi za matumizi yetu ya mafuta kwa siku. Mafuta yote yanayouzwa kwenye petrol stations zetu hutolewa FDA receipts, hivyo TRA wanazo takwimu sahihi za mauzo kwa siku. Hao wizara ya nishati inaelekea hata mafuta ya transit wanayajumulisha kwenye matumizi yetu.
 
Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Habarini za leo great thinkers,
Habarini za jumapili,

Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli mwezi wa sita 2022 itakavyokuwa mara tu baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100.

Naomba nianze hivi.

Nanukuu maelezo ya waziri wa nishati Mh. January Makamba ili hesabu zangu ziende vizuri.

"Waziri Makamba aliongeza kuwa hadi kufikia Aprili 1, 2022 petroli iliyokuwa kwenye maghala ni jumla ya lita 118,594,024 yanayotosheleza siku 27, dizeli lita 116,486,705 yanatosheleza siku 19, Mafuta ya taa lita 6,823,710 yanatosheleza siku 108 na Mafuta ya ndege lita 12,841,822 yanatosheleza siku 35.

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 118,594,024 × 30) ÷ 27
= lita 131,771,137.778 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 116,486,705 × 30) ÷ 19
= lita 183,926,376.316 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya taa kwa siku 30
= (lita 6,823,710 × 30) ÷ 108
= lita 1,895,475 za mafuta ya taa kwa siku 30

Hivyo matumizi ya mafuta ya ndege kwa siku 30
= (lita 12,841,822 × 30) ÷ 35
= lita 11,007,276 za mafuta ya ndege kwa siku 30

Tuhakikishe kama kweli hesabu zetu kama zimekwenda sawa kupitia maelezo ya Mh January Makamba. Nanukuu

"Vilevile kuna meli ambazo zimewasili nchini na zinaendelea kushusha mafuta zikiwa na lita 86,256,000 za dizeli.

Hivyo kwa kuzingatia mafuta yaliyokuwepo tarehe 01 Aprili 2022 nchi itakuwa na jumla ya lita 202,742,705 za mafuta ya dizeli zitakazotosheleza matumizi ya nchi kwa siku 33."

Hivyo matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 202,742,705 × 30) ÷ 33
= lita 184,311,550 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

"hivyo nchi itakuwa na jumla ya lita 189,979,324 za mafuta ya petroli yakutosheleza siku 37".

Hivyo matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 189,979,324 × 30) ÷ 37
= lita 154,037,289.73 za mafuta ya petroli kwa siku 30


Hesabu za mafuta ya dizeli zimetofautiana kidogo hivyo inabidi tutafute wastani.

Wastani wa matumizi ya petroli kwa siku 30
= (lita 131,771,137.778+ lita 154,037,289.73)÷2
= lita 142,904,213.754 za mafuta ya petroli kwa siku 30

Wastani wa matumizi ya dizeli kwa siku 30
= (lita 183,926,376.316+184,311,550)÷2
= lita 184,118,963.158 za mafuta ya dizeli kwa siku 30

Endapo kama ruzuku ya billioni 100 (100B) iliyotolewa ni kwaajili ya mwezi mmoja tu (siku 30) na ni kwa mafuta ya petroli na dizeli tu

Jumla ya matumizi ya petroli na dizeli kwa siku 30
= lita 142,904,213.754 za petroli + 184,118,963.158 za dizeli
Jumla = lita 327,023,176.912

Jumla ya Ruzuku iliyotolewa kwa mwezi (siku 30)
Tsh Billioni 100 = Tsh 100,000,000,000

Endapo bei ya mafuta haitabadilika katika soko la dunia mwezi wa sita.

Ruzuku kwa lita moja ya mafuta
Ruzuku kwa lita = Jumla ya Ruzuku kwa mwezi (siku 30) ÷ Jumla ya matumizi ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi (siku 30)
= Tsh 100,000,000,000 ÷ lita 327,023,176.912
= Tsh 305.78 kwa lita

Bei ya mafuta baada ya ruzuku
= Bei ya kamili - Ruzuku kwa lita
= Bei kamili - Tsh 305.78

Hivyo:
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 305.78

Hivyo mafuta ya petroli na dizeli yatakua na punguzo la Tsh 305.78 baada ya kuwekwa ruzuku ya mwezi wa sita iliyotolewa. Punguzo litakua hivyo kama hiyo ruzuku ni kwaajili ya mwezi mmoja tu.

Kama ruzuku ni kwa miezi miwili hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 152.89

Kama ruzuku ni kwa miezi mitatu hesabu zitabadilika na kuwa hivi
Bei ya mafuta kwa lita baada ya ruzuku = Bei ya kamili - Tsh 101.93

Lakini pia punguzo litakua hivyo endapo kama matumizi ya mafuta kwa mwezi au siku 30 ni sahihi na bei ya mafuta katika soko la dunia haitabadilika mwezi wa sita.
Mada konk Kama hiz hazinaga views Wala comment, barikiwa Kwa uchambuz wako
 
Hakuna tamko la kwamba hiyo 100bn ita-kava miezi mingapi hivyo tuna-ashumu ni mwezi mmoja tu, kama ndivyo, kwa punguzo la 305.78, tunataka tuone bei ya Petrol iwe 3,148 - 305.78 = 2,842.22
Ni kweli mkuu, ila sio haba
 
Kwa takwimu hizo hizo za J. Makamba, kwenye ukokotoaji wako:

1. Tumia cif price ya Sh 2,100 kama tulivyoambiwa na waziri.
Utapata Sh 686.7 billion ndiyo cif price ya kuyafikisha hayo mafuta ya lita 327,023,177 hadi DSM. Hii ni sawa na Sh 1,794 kwa lita.

2. Ongeza Sh 160 ya faida ya waagizaji (mawakala) kwa lita na Sh 118 kwa retailers. Pia ongeza tozo za serikali za miradi ya maendeleo ie barabara, maji, reli, umeme vijijini na bwawa la umeme la Julius Nyerere ambazo kwa jumla ni Sh 280 kama tulivyoambiwa na Makamba.
Utapata Sh 2,352 kwa lita. Tozo zingine za serikali kwenye bidhaa hii tuliambia zitaahirishwa hadi vita ya Russia na Ukraine itakapoisha.

3. Tozo ya forodha inaweza kuwa ngumu kwa serikali kuiahirisha. Tozo hii ni Sh 255 kwa lita. Hivyo kuifanya bei kuwa Sh 2,607 kwa lita.

NB: Wizara ya nishati inaekea haina takwimu sahihi za matumizi yetu ya mafuta kwa siku. Mafuta yote yanayouzwa kwenye petrol stations zetu hutolewa FDA receipts, hivyo TRA wanazo takwimu sahihi za mauzo kwa siku. Hao wizara ya nishati inaelekea hata mafuta ya transit wanayajumulisha kwenye matumizi yetu.
Hivi data za TRA unazipataje mkuu. Mimi hizi data nazitafuta sana.
 
Back
Top Bottom