DSM mafuta ya petroli mwezi May yalikuwa yanauzwa Sh 3,148. Mwezi June bei itakuwa Sh 2,994. Sasa hilo punguzo la Sh 306 linatoka wapi? EWURA wanatudanganya kwamba mwezi May bei ya petrol DSM ilikuwa Sh 3,301 ili ku justify punguzo la Sh 306. Hakuna kituo chochote cha mafuta DSM kilichokuwa kinauza petroli kwa bei hiyo.
Hivyo kwa DSM punguzo halizidi Sh 154 kwa lita ya petroli na huku kwenye mikoa ya mbali halizidi Sh 107 kwa lita. Kwa hiyo Sh 100 billion haitakuwa na impact yo yote kwenye kudhibiti kuendelea na mfumuko wa bei.