Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

Mimi naona punguzo lipo sahihi kimahesabu. Kwasababu mimi kwa hesabu nilizofanya, kiukweli naona zipo sahihi.
 
Labda yawezekana kuna watu humu wanajua pengine, wanaweza kutusaidia. Au tungeandikia uzi kuuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ