Kukomesha huu upangaji wa matokeo Inabidi Mo Aingie Mzigoni

Kukomesha huu upangaji wa matokeo Inabidi Mo Aingie Mzigoni

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Ligi yetu inapoelekea ni kubaya sana, ili kukomesha huu upangaji wa matokeo kwa timu ya Yanga kujichukulia point kwa baadhi ya timu zinazodhaminiwa na mfadhili wao mkuu GSM ni Mo kui giangia Mzigo kwakudhidhamini timu kadhaa zinazoshiriki Ligi Kuu

Mo akishafanya hivyo ndo watu watastuka ila hii ya kupiga kelele bila vitendo haiwezi kusaidia hata kidogo, Utopolo Msimu huu timu yao ni mbovu Mno mpaka sasa kilichowaweka hapo kwenye hiyo nafasi ya pili ni fadhira ya timu zinazozaminiwa na GSM, Na duka lao Singida BS inayomilikiwa na Mwigulu

Hii mechi ya leo Yanga Vs Singinda ni uthibitisho tosha kua kuna upangaji wa matokeo wa waziwazi bila kificho, upangaji wa kujionyesha hii ni mbaya sana
IMG_20250217_153739.jpg
 
Hii ingekua inamake sense kama timu yako ingekua inashinda inapokutana na Yanga. Wewe unafungwa mara nne mfululizo halafu Singida unataka asifungwe? Kwamba Singida ni wazuri kupita nyie?

Cc Aden Rage
 
Hii ingekua inamake sense kama timu yako ingekua inashinda inapokutana na Yanga. Wewe unafungwa mara nne mfululizo halafu Singida unataka asifungwe? Kwamba Singida ni wazuri kupita nyie?

Cc Aden Rage
Kama akina kayoko wanawasaidia ndani ya dk 90 kwanini msishinde wakati mnacheza 12 uwanjani
 
Ligi yetu inapoelekea ni kubaya sana, ili kukomesha huu upangaji wa matokeo kwa timu ya Yanga kujichukulia point kwa baadhi ya timu zinazodhaminiwa na mfadhili wao mkuu GSM ni Mo kui giangia Mzigo kwakudhidhamini timu kadhaa zinazoshiriki Ligi Kuu


Mo akishafanya hivyo ndo watu watastuka ila hii ya kupiga kelele bila vitendo haiwezi kusaidia hata kidogo, Utopolo Msimu huu timu yao ni mbovu Mno mpaka sasa kilichowaweka hapo kwenye hiyo nafasi ya pili ni fadhira ya timu zinazozaminiwa na GSM, Na duka lao Singida BS inayomilikiwa na Mwigulu


Hii mechi ya leo Yanga Vs Singinda ni uthibitisho tosha kua kuna upangaji wa matokeo wa waziwazi bila kificho, upangaji wa kujionyesha hii ni mbaya sanaView attachment 3239212
Wewe umechukua point ngapi mbele ya yanga?
 
Ligi yetu inapoelekea ni kubaya sana, ili kukomesha huu upangaji wa matokeo kwa timu ya Yanga kujichukulia point kwa baadhi ya timu zinazodhaminiwa na mfadhili wao mkuu GSM ni Mo kui giangia Mzigo kwakudhidhamini timu kadhaa zinazoshiriki Ligi Kuu


Mo akishafanya hivyo ndo watu watastuka ila hii ya kupiga kelele bila vitendo haiwezi kusaidia hata kidogo, Utopolo Msimu huu timu yao ni mbovu Mno mpaka sasa kilichowaweka hapo kwenye hiyo nafasi ya pili ni fadhira ya timu zinazozaminiwa na GSM, Na duka lao Singida BS inayomilikiwa na Mwigulu


Hii mechi ya leo Yanga Vs Singinda ni uthibitisho tosha kua kuna upangaji wa matokeo wa waziwazi bila kificho, upangaji wa kujionyesha hii ni mbaya sanaView attachment 3239212
Kwenye zile tano mlizokula ujue Mo nae alikula fungu lake kutoka GSM.
 
Umeelewa kweli tulipoanzia mjadala na huyo jamaa?
Unaonaje ukijibu swali ndipo uulize swali?!

Swali nililokuuliza linatokana na kile ulichoandika kwamba utopwinyo waliwapiga Tp & Al hilal...

Swali langu hujaliona nirudie tena kuuliza?
 
MC Alger pia amefungwa na GSM wamefuzu robo fainal
Ukishaona mnazungumzia hiki na ukapewa mifano ya ushindi na bado unaendeleza ligi huwa naconclude nafanya mjadala na OyaOya.

Mada ilikua inadoubt ushindi wa Yanga nikakupa mfano wa ushindi dhidi ya timu kubwa zaidi hizo zinazodhaminiwa na GSM. Cha ajabu unatolea mfani MC Algier ambaye Yanga alishindwa kupata ushindi kwenye mechi zote mbili. OyaOya.

Na hii ndio ile part ambayo nasitisha mjadala.
 
Okay Okay Okay.. Amefungwa TP Mazembe amefungwa Al Hilal. Singida ni wazuri kupita hao?

Alichezesha Kayoko?
Halafu mkaishia wapi?Mmefungwa nyumbani na kupata pointi 4 kati ya 9 nyumbani.Unaelewa chochote kwenye hayo mahesabu au calculator iligoma.
 
Hili swali hawezi kukujibu. Badala yake ataanza kuwataja akina Kayoko, badala ya Tatu Malogo.
Wanajizima data sana but milio nilijua tu itakuwa mingi maana walianza kuulizia makofi polisi kwa kupora ushindi kwa Dodoma Jiji,,mechi ya pamba ilistahili sare mwamuzi wao akakataa goli la pamba,,wakaenda Zanzibar mwamuzi akawapa magoli ya offside, awakutosheka wakarudi kwa Jkt refa akafanya yake kama kawa tulipokuwa tunasema wakawa wanakenua tu wanasema ubaya ubwela sasa tutaenda nao sawa mpaka watapike nyongo hii milio bado awajaitoa wataitoa sana!
 
Hata ile mechi ya kwanza iliyofanyika zanzibar nayo ilikuwa ni upangaji matokeo. Eti wageni uto waliwaomba wenyeji singida wakachezee mechi zanzibar badala ya singida.Akili za uto wanafikiri huu ujinga wanaweza kufanya wao tu. TFF shtukeni huu ujinga anaofanya uto hata simba,.Azam wanaweza kufanya na mtakuwa mmeshachelewa.
 
Mkuki kwa nguruwe... simba akibebwa anasemaga Ubaya Ubwege

Hizi kelele hata mtu ambaye hajajaliwa kipaji cha kutabiri kwa leo mapema tu angetabiri kuwa yanga akishinda hii game lazima walevi wa ulanzi watoe haya maneno

Ubaya ubwege uendelee
 
Back
Top Bottom