Kukomesha utekaji serikali ipige marufuku vikundi hivi vya kisiasa kama itaweza

Wasiojulikana waanza kujulikana na kuthihirisha watekaji na wauaji kwa sehemu kubwa ni vyombo vilivyoaminiwa na Wananchi kulinda mali na maisha yao. Hii ni dalili ya FAILED STATE
Vyombo hivi havijaaminiwa na wananchi, ni vya watawala dhidi ya watawaliwa.
 
Sababu SSH hana ushawishi atatumia zaidi Polisi usalama, Tamisemi / tume ya uchaguzi, rushwa, wasiojulikana, ubabe, watu kupotezwa, kutekwa na machawa ili kutawala na kushinda chaguzi zote mbeleni, pia kuwatuliza watu anaowaona tishio kwake.
 
Itapigaje marufuku wakati serikali yenyewe ndio inaratibu huo utekaji.
 

Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute.​

 

Kama ndio inawatuma? Ikate mkono wake wenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…