Wasiojulikana waanza kujulikana na kuthihirisha watekaji na wauaji kwa sehemu kubwa ni vyombo vilivyoaminiwa na Wananchi kulinda mali na maisha yao. Hii ni dalili ya FAILED STATE
Na kujichekesha mwenyewe.Unankumbusha kuhusu kujitekenya
Mimi ninapotembea peke yangu huvaa jaketi lililoshindiliwa mchanga na kushonwa vizuri sana kiasi hauwezi kulihisi, hili jaketi ukichanganya na uzito wangu si haba huenda nikafanana na huyo.
Vyombo hivi havijaaminiwa na wananchi, ni vya watawala dhidi ya watawaliwa.Wasiojulikana waanza kujulikana na kuthihirisha watekaji na wauaji kwa sehemu kubwa ni vyombo vilivyoaminiwa na Wananchi kulinda mali na maisha yao. Hii ni dalili ya FAILED STATE
Lakini vifaa wanavyotumia si vya kodi ya wananchi?Vyombo hivi havijaaminiwa na wananchi, ni vya watawala dhidi ya watawaliwa.
Itapigaje marufuku wakati serikali yenyewe ndio inaratibu huo utekaji.Tumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri Serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Rais na Wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Halafu hucheki, (kuji drama)Na kujichekesha mwenyewe.
Tumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri Serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Rais na Wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.