realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 #1 Hali ya “Kukoroma” hutokea kwa baadhi ya watu wakiwa wamelala. Linaendelea kuwa tatizo kwa sababu linazidi kukua kwa kasi. Kwa wale tuliosoma Shule za Bweni tunalijua vizuri hili tatizo. Lakini hili tatizo pia lipo Nyumbani, kwenye mabasi, kazini na sehemu nyingine kama hizo. Niliwahi pia kusikia kuwa linasababishwa na Nyama za pua. Je, hili ni tatizo la Kiafya? Vumbi?, Unywaji wa Pombe? Kuchoka Au ni tabia ya mtu?
Hali ya “Kukoroma” hutokea kwa baadhi ya watu wakiwa wamelala. Linaendelea kuwa tatizo kwa sababu linazidi kukua kwa kasi. Kwa wale tuliosoma Shule za Bweni tunalijua vizuri hili tatizo. Lakini hili tatizo pia lipo Nyumbani, kwenye mabasi, kazini na sehemu nyingine kama hizo. Niliwahi pia kusikia kuwa linasababishwa na Nyama za pua. Je, hili ni tatizo la Kiafya? Vumbi?, Unywaji wa Pombe? Kuchoka Au ni tabia ya mtu?
ROOM 47 JF-Expert Member Joined May 23, 2022 Posts 2,301 Reaction score 7,460 Aug 19, 2024 #2 Tabia ya mtu kama tabia tu
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,097 Reaction score 17,929 Aug 19, 2024 #3 Kula kula hovyo
L Lodilofah JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 403 Reaction score 1,039 Aug 19, 2024 #4 Binafsi nikichoka sana nakoroma
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Aug 19, 2024 #5 Matatizo ya afya ya Upumuaji.
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #6 ROOM 47 said: Tabia ya mtu kama tabia tu Click to expand... 😅
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #7 Lodilofah said: Binafsi nikichoka sana nakoroma Click to expand... Kuchoka inaweza kuwa sababu
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #8 The Legacy said: Matatizo ya afya ya Upumuaji. Click to expand... Duu Kumbe wakati mwingine ni tatizo la kiafya
The Legacy said: Matatizo ya afya ya Upumuaji. Click to expand... Duu Kumbe wakati mwingine ni tatizo la kiafya
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #9 Papaa Gx said: Kula kula hovyo Click to expand... 😅😅😅
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 5,879 Reaction score 11,318 Aug 19, 2024 #10 N realMamy said: Duu Kumbe wakati mwingine ni tatizo la kiafya Click to expand... Sio wakati mwingine ukokoroma unashida kwenye mfumo wa upumuaji.
N realMamy said: Duu Kumbe wakati mwingine ni tatizo la kiafya Click to expand... Sio wakati mwingine ukokoroma unashida kwenye mfumo wa upumuaji.
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #11 The Legacy said: N Sio wakati mwingine ukokoroma unashida kwenye mfumo wa upumuaji. Click to expand... Kuna dawa yake?
The Legacy said: N Sio wakati mwingine ukokoroma unashida kwenye mfumo wa upumuaji. Click to expand... Kuna dawa yake?
amadala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,265 Reaction score 12,268 Aug 19, 2024 #12 Mnaokoroma mjitaje basi tuwatambue
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #13 amadala said: Mnaokoroma mjitaje basi tuwatambue Click to expand... 😅😅😅😅😅
Doto Dotto JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 3,906 Reaction score 2,902 Aug 19, 2024 #14 Kupanda boda boda mara Kwa mara
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #15 Doto Dotto said: Kupanda boda boda mara Kwa mara Click to expand... 😅😅😅 ule upepo?
Lovebird JF-Expert Member Joined Sep 27, 2012 Posts 6,383 Reaction score 9,337 Aug 19, 2024 #16 Uzito kupita kiasi (nilikuwa nakoromaa nkapungua uzito 5 kg ndani ya wiki, kukoroma kukapunguaa) Kulala vibaya
Uzito kupita kiasi (nilikuwa nakoromaa nkapungua uzito 5 kg ndani ya wiki, kukoroma kukapunguaa) Kulala vibaya
To yeye JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 35,686 Reaction score 86,968 Aug 19, 2024 #17 Nyanyua shingo hiyo
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #18 Lovebird said: Uzito kupita kiasi (nilikuwa nakoromaa nkapungua uzito 5 kg ndani ya wiki, kukoroma kukapunguaa) Kulala vibaya Click to expand... Asante
Lovebird said: Uzito kupita kiasi (nilikuwa nakoromaa nkapungua uzito 5 kg ndani ya wiki, kukoroma kukapunguaa) Kulala vibaya Click to expand... Asante
realMamy JF-Expert Member Joined Apr 28, 2024 Posts 3,925 Reaction score 8,853 Aug 19, 2024 Thread starter #19 To yeye said: Nyanyua shingo hiyo Click to expand... Unamaanisha nini
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 Aug 19, 2024 #20 amadala said: Mnaokoroma mjitaje basi tuwatambue Click to expand... Mimi nilikuwa sijui kuwa nakoroma niliambiwa na watu tofauti kama Wawili ndio nikajua..
amadala said: Mnaokoroma mjitaje basi tuwatambue Click to expand... Mimi nilikuwa sijui kuwa nakoroma niliambiwa na watu tofauti kama Wawili ndio nikajua..