Kukosa bima ya chombo cha moto kwasababisha nyumba zipigwe mnada kulipa majeruhi

Kukosa bima ya chombo cha moto kwasababisha nyumba zipigwe mnada kulipa majeruhi

Naughty by nature

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
2,123
Reaction score
2,359
Kuna jamaa kule maeneo ya Ununio nasikia ni mgambo pale Kunduchi Pwani, mwaka 2020 aliwagonga watu wawili na gari lake akawajeruhi vibaya, na gari haikuwa na bima.

Juzi Mahakama imetoa amri, zimepigwa mnada nyumba zake tatu ili kuwapa wahanga fidia ya milion 105, nyumba tatu zishauzwa imepatikana mil.80. Mwenyewe kaweuka kawa chizi, na deni bado, nadhani hatua ifuatayo atiwa jela akafie huko kabisa.

WAKUU TUWE MAKINI NA VYOMBO VYA MOTO, Mahakama imetenda haki
 
Kuna jamaa kule maeneo ya ununio nasikia ni mgambo pale kunduch pwani, mwaka 2020 aliwagonga watu wawili na gari lake akawajeruhi vibaya,na gari haikuwa na bima,

juzi mahakama imetoa amri, zimepigwa mnada nyumba zake tatu ili kuwapa wahanga fidia ya milion 105, nyumba tatu zishauzwa imepatikana mil.80, mwenyewe kaweukwa kawa chizi, na deni bado, nadhan hatua ifuatayo atiwa jela akafie huko kabisa. WAKUU TUWE MAKINI NA VYOMBO VYA MOTO, Mahakama imetenda haki
na boda doda watiwe adabu kila siku wanavunja watu miguu
 
Kuna jamaa kule maeneo ya ununio nasikia ni mgambo pale kunduch pwani, mwaka 2020 aliwagonga watu wawili na gari lake akawajeruhi vibaya,na gari haikuwa na bima,

juzi mahakama imetoa amri, zimepigwa mnada nyumba zake tatu ili kuwapa wahanga fidia ya milion 105, nyumba tatu zishauzwa imepatikana mil.80, mwenyewe kaweukwa kawa chizi, na deni bado, nadhan hatua ifuatayo atiwa jela akafie huko kabisa. WAKUU TUWE MAKINI NA VYOMBO VYA MOTO, Mahakama imetenda haki
Huyu atakuwa Pengo tuna kigari chake Cha kufukizia magendo! Pole yake.
 
Kama unachangamoto ya kibima na unahitaji ushauri na msaada zaidi tafadhali tunaweza kuwasiliana katika number hizi. 0765 827 355 kupata msaada na ushauri.
 
Hapo limechezwa dili tu, mbona watu wakifongwa na magari yenye bima huwa hawalipi fidia hao bima. Unazungushwa mahakamani miaka 20
 
Back
Top Bottom