Kukosa kujiamini

IDyangu

Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
99
Reaction score
22
Habari wana jf. Yani nina tatizo la kukosa kujiamini. Hata kwenye mazungumzo yangu hasa kwa watu ambao siwafahamu.Hata shuleni kama natakiwa kufanya presentation inakuwa ni shida. unakuta kitu nakifahamu lakini nashindwa kudeliver kwa sababu ya kukosa kujiamini ambako kunatokana na uoga pia. Naombeni ushauri nifanyeje ili nijiamini na nisiwe mwoga kupitiliza.Asante
 
Polee..first unatakiwa ujue watu wote wana insecurities....hivyo wewe jichukulie kawaida...pili ujue una haki ya kukosea...no one is perfect...Halafu unatakiwa ujue how privileged hadi kufika hapo...hivyo huna cha kukutia simanzi au aibu....ume sha achieve a lot
 
Follow this guy on twitter, facebook etc utanipa feedback...Eduard Ezeanu

 
ukiwa mbele usipende kuangalia watu machoni ndirectly
 
Umezaliwa wakushinda na utashinda kila siku, kwanini unaogopa kushindwa/kukosa?
Kama umeweza kuandika thread hapa basi hapo woga huna tena jf. Fanya hivyo ukiwa darasani pia
 
Unatakiwa ufanye reheso sana kabla ya kupresent, af penda kutumia break ice technic itakusaidia....
 

anza kula mabange itakusaidia
 
Hapo kua na dharau ya kuona unawazidu kitu fulan wanaokuzunguka hiyo pia itakusaidia...
 

Inakupasa ufanye mazoezi ili uweze kujikubali na kujiamini.
Kwanza vitabu self confidence na positive thinking,Visome na kufanyia kazi maelekezo.Pili anza mazoezi ya presentation mbele ya kundi dogo la watu hasa marafiki uliowazoea.Pili tafuta marafiki wanaojiamini.Advantage uliyonayo umejua tatizo umeamua kutafuta ufumbuzi.
 
Mkuu jaribu unapokuwa chumbani kwako simama mbele ya kioo afu Fanya conservation..... try this a lot pia inajenga confidence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…