rehanishabani
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 319
- 59
Hongera sana kijana kwa kutoa duku duku lako.pia hongera kwa kurudi salama kutoka mazingira ya jehanam ya jkt.wapo wenzako akiwemo binti yangu halima kitangilwa waliouawa kwa kusulubiwa.halima amepata chuo lkn wamemsulubu na kuumua.kutokana na hali hiyo unayoiona na mimi na mimi ambae mtoto wangu ameuawa jkt inatosha kuwaambia wakubwa kwamba uzaleno na ukakavu haufundishwi kwa njia za kutesa na kuua watu.mwisho wa yote huzaliwa chuki na visasi.