Kukosa mkopo kwa zaidi ya wanafunzi 28,000 ni janga la kitaifa

kopa kwa wa2 au benk coz pote n den so utalpa. kwan heslb ndo inatoa mikopo peke ake?

Mkopo wa heslb hauna riba. Na huko benk nina assets za kudhamini mkopo?
 
Poleni madogo. Ila makato yanauma sana baada ya kupata ajira. Kila mwezi wananikata elfu67na mia6. Na hili deni ni la miaka14. Najuta kwanini niliombaga mkopo.
Acha masihara bila mkopo ungeweza kusoma na kupata ajira wanayokukata 67,600? Na hii 67,600 ndo mshahara wako wote hubakiwi na hata pesa ya kununua nguo, chakula nk? Muogope Mungu
 
jaman kwa mtualiyepitia diploma inambid matokeo yake yake ya o level yawaj msaada pliz
 
Na mabilioni mengine ndo hayo yamechotwa kwenye Escrow.Kweli nchi hii inahitaji viongozi wenye nia njema.

kuwafahamu kwa kutumia milango ya fahamu kama 'input transducers' ni vigumu sana.
Labda kuwe na sheria zenye kutoa adhabu kali dhidi yao, pindi wanapoharibu maksudi. Huenda wakaogopa adhabu, ikawa ndio faida kwa watanzania.
 
kuwafahamu kwa kutumia milango ya fahamu kama 'input transducers' ni vigumu sana.
Labda kuwe na sheria zenye kutoa adhabu kali dhidi yao, pindi wanapoharibu maksudi. Huenda wakaogopa adhabu, ikawa ndio faida kwa watanzania.

Kweli kabisa mkuu.
 
Nchi hii wanapewa mikopo kwa connections "wenyewe wanasema" mwenye nacho ataongezewa na toa k2 upate k2.... but isn't fair yaan wanahitaji mkopo wanakosa...... duuu ni shidaah....
 
Nchi hii wanapewa mikopo kwa connections "wenyewe wanasema" mwenye nacho ataongezewa na toa k2 upate k2.... but isn't fair yaan wanahitaji mkopo wanakosa...... duuu ni shidaah....

Nchi hii ni yetu sote, Hilo bomu wanaloliandaa ipo siku litalipuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…