Glisten
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 301
- 22
Wadau.. Humu ndani kuna uzi mmoja nilisoma wa Mdau ambae anasoma IFM ambae yuko mwaka wa 3, Mdau Hakupata Mkopo ila sasa ana miezi kadhaa kumaliza, nilipenda sana kwani haya kweli huwa ni mambo ya kupita leo kesho utakuwa umemaliza chuo una ujuzi wako, Mimi pia niangia mwaka wa Pili pale IFM ni City Centre na maisha yako very Expensive ila kama una nia na malengo yakutimiza ndoto zako katika maisha hiyo inakuwa ni Changamoto ndogo sana kwako. Ni ngumu sometimes ila inatakiwa Kukomaa. Hiyo inakupa hasira na utumizi mzuri wa pesa, Amini Usiamini mtu yeyote ambae amesoma Chuo kwa kujigharamia mwenyew kwa kiasi kikubwa akiingia mtaani maisha kwake huwa ni simple sana.
Nawaasa wadogo zangu msikate Tamaa Utazoea Tu.. KIKUBWA USIJILINGANISHE NA MTU YEYOTE na Ukifanya hivyo itakula kwako. KILA KUKICHA KATIKA MAISHA KUNA CHANGAMOTO HATA UKIBAKI HOME CHANGAMOTO ZIPO TU KWAHIYO NI VEMA UKAPAMBANA UKIWA MDA KULIKO KUPAMBANA UKIWA MZEE KWASABABU KAMA UTAPOSTPON MASOMO LEO MDA HAUKUSUBIRI UTAZEEKA SHULE UKISUBIRI MKOPO.
Nawaasa wadogo zangu msikate Tamaa Utazoea Tu.. KIKUBWA USIJILINGANISHE NA MTU YEYOTE na Ukifanya hivyo itakula kwako. KILA KUKICHA KATIKA MAISHA KUNA CHANGAMOTO HATA UKIBAKI HOME CHANGAMOTO ZIPO TU KWAHIYO NI VEMA UKAPAMBANA UKIWA MDA KULIKO KUPAMBANA UKIWA MZEE KWASABABU KAMA UTAPOSTPON MASOMO LEO MDA HAUKUSUBIRI UTAZEEKA SHULE UKISUBIRI MKOPO.