Habar zenu wanaJF, mi ninatatizo linanisumbua sana tokea zamani kama miaka minne iliyopita japo liliacha lakini sasa limeanza kurudi tena mala 1 moja, ni tatizo la kukosa nguvu mwili mzima usiku ukiwa umelala kiasi cha kushindwa kugeuka au hata kunyanyua kiungo chochote cha mwili japo unakua unajitambua, naomba msaaada wenu wakubwa.