Ni aibu sana wasanii wa 5 toka Nchi kubwa. Yenye Rais anayependwa Africa. Madini mbali mbali na vingenevyo.
Kwenda katika Mashiriki ya MTVMAMA's na kutokuumbulia kitu. Ni Aibu, tujifunza;
1. Hatukubaliki kama tunavyojikubali (hii ni Overconfidence). Tunashindwa ambiana tuki bugy. Wasanii wetu wameshuka kipaji cha utunzi.. Nyimbo meaningless kama SALOME (kutekenya nini sasa). AJE.
2. Misingi mibovu ya kutuwakilisha kimataifa. Leo tumekua Laughing Stock!
Surely wasanii walioshinda izo Tunzo ukitoa Wiz Kid. Hatuwajui. Meaning, sisi tupo kwenye Bubble yetu ya Singeli na kurusha matako. Na kuimba ujinga.
Wasanii wajirekebishe. Laa sivyo hata nominations hatutafika next year. Tukiipa Singeli Mwanya.
Kwenda katika Mashiriki ya MTVMAMA's na kutokuumbulia kitu. Ni Aibu, tujifunza;
1. Hatukubaliki kama tunavyojikubali (hii ni Overconfidence). Tunashindwa ambiana tuki bugy. Wasanii wetu wameshuka kipaji cha utunzi.. Nyimbo meaningless kama SALOME (kutekenya nini sasa). AJE.
2. Misingi mibovu ya kutuwakilisha kimataifa. Leo tumekua Laughing Stock!
Surely wasanii walioshinda izo Tunzo ukitoa Wiz Kid. Hatuwajui. Meaning, sisi tupo kwenye Bubble yetu ya Singeli na kurusha matako. Na kuimba ujinga.
Wasanii wajirekebishe. Laa sivyo hata nominations hatutafika next year. Tukiipa Singeli Mwanya.