Kukosa ulichokitaka na kupata ulichokitaka yote ni majanga

Kukosa ulichokitaka na kupata ulichokitaka yote ni majanga

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Nimekaa nikatafakari endapo ningemkosa huyu mwanamke nilienae, huenda ningekua na mjuto kwa kuamini kulikua na chaguo zuri ambalo sijalipata.

Lakini leo nimepata kile ambacho niliamini ndio kitu bora zaidi huku uhalisia ukipingana na nilichokua naamini..

Kweli pema usijapopema ukipema si pema tena.
 
Nimekaa nikatafakari endapo ningemkosa huyu mwanamke nilienae, huenda ningekua na mjuto kwa kuamini kulikua na chaguo zuri ambalo sijalipata.

Lakini leo nimepata kile ambacho niliamini ndio kitu bora zaidi huku uhalisia ukipingana na nilichokua naamini..

Kweli pema usijapopema ukipema si pema tena.
Pole kwa yote mkuu
 
Nimekaa nikatafakari endapo ningemkosa huyu mwanamke nilienae, huenda ningekua na mjuto kwa kuamini kulikua na chaguo zuri ambalo sijalipata.

Lakini leo nimepata kile ambacho niliamini ndio kitu bora zaidi huku uhalisia ukipingana na nilichokua naamini..

Kweli pema usijapopema ukipema si pema tena.
Wanaume wa dotcom mnalialia mno

Wazee wetu wametuachia kizazi Cha wanaume nyoronyoro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekaa nikatafakari endapo ningemkosa huyu mwanamke nilienae, huenda ningekua na mjuto kwa kuamini kulikua na chaguo zuri ambalo sijalipata.

Lakini leo nimepata kile ambacho niliamini ndio kitu bora zaidi huku uhalisia ukipingana na nilichokua naamini..

Kweli pema usijapopema ukipema si pema tena.
Sasa maarifa yamekuingia, utaweza kushauri vizuri, uzoefu ni mwalimu.
Na hivyo ndivyo wahenga walipata semi zao zote, kwa kupitia uzoefu fulani.
Hapo wangesema likuepukalo Lina heri nawe, au
Si kila king'aacho dhahabu, au
Lila na fila havitangamani, au
Wengine mnisaidie nyingine.
 
Let me give my few cents on this..
Personally naamini kabisa mwanaume ameumbwa kua kichwa cha familia na kiongozi.
Na kiongozi ni jukumu lake kuonyesha ushupavu through all times, good and bad.
I stil think wanaume wengi tunakosea sana pale tunapoanza mahusiano na wanawake. Wengi wanashindwa kujua kua, gia ulioingia nayo ndio utakayotokea nayo.
Therefore, picha na matwndo unayoyaonyesha mwanzoni mwa mahusiano ndo hyo hyo mwanamke wako atatembea nayo hadi ndoa kama mkijaaliwa..
Shida n kizazi cha siku hizi wengi n walaini, waoga sana. Wanakosa ili misimamo ya kiume, na bado nafuatilia shida iko wapi, either n utandawazi, au malezi n.k.
Kama unalia lia hivi mtandaoni hata ndani ya mji wako lazma hauna makucha wala sauti, so unapoteza ile nafasi yako ya uongozi. Baadae unaanza kulaumu kindezi.
Its high time watu wabadilike, kulia lia na kujifanya mpenzi bora hakusaidii kwenye maisha maana aspects ziko nyingi sio ngono tu.
Tofaut na hapo kitafuata kizazi bomu kabisa.
"Hard times create strong men, Strong men create good times, good times create weak men, weak men creates hard times."
 
Back
Top Bottom