Kukosana na mama au baba mzazi ni Janga jipya kwenye jamii. Tulifanyie utafiti. Tusikurupuke

Kukosana na mama au baba mzazi ni Janga jipya kwenye jamii. Tulifanyie utafiti. Tusikurupuke

Ukijitenga nae inasaidia sana nimeona mama wa rafiki yangu akijirudi na kumuomba mwanae msamaha!!

Kaka,

Hebu soma vizuri mifano niliyoona ikanifanya nilete thread humu. Nimesema wazazi wengi ni wale ambao wanakubali waachane hadi kufa kuliko kuomba msamaha mtoto wake.
 
Yaani ulivyoandika tu nimekuchukia bure. Namuonea huruma mama yako!


Mwana,

Badala ya kumhurumia huyo mama chunguza kwanza ukweli wa anachostahili kupata katika mahusiano aliyoyatengeneza au kuyaharibu.

Hivi unaijua kilichotokea kwa mama mzazi wa mtangazaji aitwaye Taji Liundi, yaani Agnes Doris Liundi. Unafahamu kwamba Taji Liundi alikuwa na wadogo zake wangapi na leo amebaki nao wangapi hapa duniani.

Usikurupuke kama hujui baadhi ya uzito wa mambo tunayoongelea tukitafuta solutions kusaidiwa yasijirudie.

Nimeandika baada ya kukaa kwa miaka mingi nikidhani haya yanapungua kwenye jamii kumbe ndiyo yanazidi kuongezeka utadhani jamii haiyaoni na haina akili za kuyashughulikia.
 
Wazazi wengine wanapendeelea watoto, wanapenda huyu wanamchukia huyu, Hilo lipo sana

Kumbe vyanzo viko vingi na hiki ulichotaja ni moja ya ukweli.

Niliwahi kushuhudia mzazi wmmoja ambaye hakumpenda sana mtoto mkubwa kwani yule mdogo aliyependwa alikuwa anafanya kazi yenye kipato kuliko mkubwa.

Siku yule mkubwa alipopata kazi yenye kipato haikupita hata mwaka mzazi akabadilisha mapenzi kwenda kwa yule mkubwa.

Mzazi huyu sikumpenda kwa sababu ni mlafi na mpenda pesa, anapenda watoto kwa mujibu wa walichonacho.
 
Duh mama yangu anapenda kuniambia kua nikiwa nimepata mchumba nimpeleke kwanza kwake amsamanishe.. Sasa hapo naona si ipo siku yatanitokea kama hayo. BTW nampenda mama yangu na ananipenda sana

Mondray,

KIla kiumbe hata kinyonga na mjusi anampeda mama yake na hakuna anayeweza kukufundisha au kunifundisha jinsi ya kumpenda mama au baba yako au wangu.

Ikifikia mahala ukaona mtoto anakorofishana na mama au baba kama ninavyoeleza huwezi kuja na kauli za juujuu kama hizi na ndiyo maana nimezileta leo tujikite tukijua lipo tatizo kubwa linaongezeka, na sioni dalili za kupungua.
 
Mondray,

KIla kiumbe hata kinyonga na mjusi anampeda mama yake na hakuna anayeweza kukufundisha au kunifundisha jinsi ya kumpenda mama au baba yako au wangu.

Ikifikia mahala ukaona mtoto anakorofishana na mama au baba kama ninavyoeleza huwezi kuja na kauli za juujuu kama hizi na ndiyo maana nimezileta leo tujikite tukijua lipo tatizo kubwa linaongezeka, na sioni dalili za kupungua.
Yeah mkuu nimeona hilo nitajitahid nipigane nalo
 
Hahaaaaaa yaan mother mm kanikomalia kwanza anasema hatak mwanamke asiye na shape wala sura
[emoji23][emoji23][emoji23] mama yangu mfupi, baba yangu ana urefu wa kingongoti... Mama anasema usilete mume mfupi, eti nna mbegu za ufupi kwangu ko naweza zaa andunje !
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mama yangu mfupi, baba yangu ana urefu wa kingongoti... Mama anasema usilete mume mfupi, eti nna mbegu za ufupi kwangu ko naweza zaa andunje !
Duu P ww unanifaa kwa matumiz ujue
 
Wakati mwingine tatizo linakua kwa mtoto kama umefikia umri wa kujitegemea af bado unawategemea wazaz wewe ni mzigo! ata ikitokea ukachaguliwa maisha ya kuishi wala usimlaumu mzaz,pia unaweza ukawa na mji wako lakini ukatengeneza ukaribu na wazazi wako kuliko majirani hii nayo haijakaa vizur,ukishajijua unatakiwa ujitegemee tafuta maisha mbali na wazazi cz huu ndio wakati wa kuongeza dhaman yako kwa wazazi wako.umbali kat ya mzaz na mtoto huwafanya wakumbukane cha mhimu hapa ni kijana kama huna sababu ya ulazima kua karibu na wazaz ucfanye ivyo ata wao wanataman cku moja uwe mgeni wao na cyo kila cku unakua mpokea wageni,watakuchoka tu.
 
Wakati mwingine tatizo linakua kwa mtoto kama umefikia umri wa kujitegemea af bado unawategemea wazaz wewe ni mzigo! ata ikitokea ukachaguliwa maisha ya kuishi wala usimlaumu mzaz,pia unaweza ukawa na mji wako lakini ukatengeneza ukaribu na wazazi wako kuliko majirani hii nayo haijakaa vizur,ukishajijua unatakiwa ujitegemee tafuta maisha mbali na wazazi cz huu ndio wakati wa kuongeza dhaman yako kwa wazazi wako.umbali kat ya mzaz na mtoto huwafanya wakumbukane cha mhimu hapa ni kijana kama huna sababu ya ulazima kua karibu na wazaz ucfanye ivyo ata wao wanataman cku moja uwe mgeni wao na cyo kila cku unakua mpokea wageni,watakuchoka tu.

Nakubaliana na sababu yako kwamba hapa mkorofi ni mtoto na mzazi hana hatia hapa. Utakaaje kwa wazazi wakati tumezaliwa duniani kutafuta maisha pembe zote za dunia.

Nilichooongelea ni pale mzazi anapokuw amkorofi na mkaidi na ndilo linalotesa watu na ndilo tunataka tujue ufumbuzi maana hadi sasa hivi kila mtu analiona ni tatizo na anafanya ufumbuzi wake.

Ufumbuzi mwingine ndiyo hawa wanamtimua mama au baba maisha yao yote na hata akifa hawaendi msibani kama nilvyoona kwa jamaa nilyemsimulia humu.
 
Kaka,

Hebu soma vizuri mifano niliyoona ikanifanya nilete thread humu. Nimesema wazazi wengi ni wale ambao wanakubali waachane hadi kufa kuliko kuomba msamaha mtoto wake.

Inaonekana umekwishafikia hitimisho kwamba wazazi ndio wenye matatizo. Hivyo wazazi ndio wanabidi wajirekebishe.

Kutoelewana baina ya wazazi na watoto kunatokana na sababu nyingi tofauti. Zipo ambazo zipo wazi na jamiii inaweza amua bila wasiwasi ni nani mkorofi. zipo sababu ambazo haziko wazi hivyo ni vigumu kwa jamii kuhitimisha ni nani mkorofi.

Binafsi naungana na wadau waliosema kutojibishana na wazazi ni jambo bora, hata kama wewe mtoto unaamini unahaki.
Zamani koo katika nyingi walikuwepo wazee ambao mtoto anapokosewa na mzazi mtoto alikuwa anaweza kwenda waona hao wazee na kuwasilisha malalamiko yake. Wazee hawa walikuwa na mbinu ya kufikisha ujumbe kwa mzazi bila ya mzazi kuona kakosewa heshima. Mzazi alikuwa haombi msamaha ila harudii tena lile kosa (japokuwa walikuwepo wazazi wakorofi ambao kwenda kwa wazee hawa ilikuwa kama unawachochea moto). Mfumo huu umepotea, hivyo kwa sasa ukimya ni njia madhubuti ya kuepuka ugomvi na wazazi.

Wanaosema umpotezee mzazi, mkumbuke kwamba nanyi mkijaaliwa mtakuwa na watoto. Hawa watoto watakuwa wamelelewa katika mazingira ya kutoona umuhimu wa kuwa karibu na wazazi wanapokuwa wakubwa (wameona jinsi babu na bibi yaowalivyopotezewa na maisha yakasonga bila tatizo) hivyo na wao wakiwa wakubwa hawataona shida kuwapotezea wazazi wao (wakipata hata sababu ndogo tu).
 
Inaonekana umekwishafikia hitimisho kwamba wazazi ndio wenye matatizo. Hivyo wazazi ndio wanabidi wajirekebishe.

Kutoelewana baina ya wazazi na watoto kunatokana na sababu nyingi tofauti. Zipo ambazo zipo wazi na jamiii inaweza amua bila wasiwasi ni nani mkorofi. zipo sababu ambazo haziko wazi hivyo ni vigumu kwa jamii kuhitimisha ni nani mkorofi.

Binafsi naungana na wadau waliosema kutojibishana na wazazi ni jambo bora, hata kama wewe mtoto unaamini unahaki.
Zamani koo katika nyingi walikuwepo wazee ambao mtoto anapokosewa na mzazi mtoto alikuwa anaweza kwenda waona hao wazee na kuwasilisha malalamiko yake. Wazee hawa walikuwa na mbinu ya kufikisha ujumbe kwa mzazi bila ya mzazi kuona kakosewa heshima. Mzazi alikuwa haombi msamaha ila harudii tena lile kosa (japokuwa walikuwepo wazazi wakorofi ambao kwenda kwa wazee hawa ilikuwa kama unawachochea moto). Mfumo huu umepotea, hivyo kwa sasa ukimya ni njia madhubuti ya kuepuka ugomvi na wazazi.

Wanaosema umpotezee mzazi, mkumbuke kwamba nanyi mkijaaliwa mtakuwa na watoto. Hawa watoto watakuwa wamelelewa katika mazingira ya kutoona umuhimu wa kuwa karibu na wazazi wanapokuwa wakubwa (wameona jinsi babu na bibi yaowalivyopotezewa na maisha yakasonga bila tatizo) hivyo na wao wakiwa wakubwa hawataona shida kuwapotezea wazazi wao (wakipata hata sababu ndogo tu).

Mhesshimiwa,

TUnaongelea mazingira ya sasa na mazingira yanayoleta tatizo.

Ni kweli hitimishoa langu kwamba wazazi wakorofi. Nimefikia hitimisho hilo ili jamii kukabiliana na hili tatizo na nimeonye kwamba zamani nilidhani ni wachache kumbe linaongezeka na hivyo wewe changia jinsi ya kuliondoa.

Sijawahi na sitarajii kusikia eti mtafaruku ambao mtoto anayejitegemea kamkosea mzazi halafu hiyo ikawa ni issue nzito ikashindikana na jamii. Mtoto kumkosea mzazi si issue nzito ya kujadili maana mtoto atashambuliwa kila kona na hata mimi nitamshambulia.

Taabu ilivyonifanya nikaandika kama mna majibu msaidie ni pale mzazi ni mkorofi, tena si mkrofi tu, bali ni mkaidi. Ukaidi wa mzazi huja hasa anapotambua kwamba ana washabiki wengi kwenye jamii kwa hiyo mifano niliyoona ni ile ambay watoto wameona potelea mbali wingi wa washabiki anaamua kufanya niliyosema na nimeona yakiwafika wazazi wengi ambao sipendi yazidi kuwafika.

Ninataka wazazi wazidi kupendana na watoto wao hadi kifo chao na ndiyo maana ninaleta msaidie kuliko kuchochea moto kama baadhi yenu ninavyowaona.

mfumo unaousema wa wazee kumkanya kimyakimya nao tunaujua na sikuutaja kwa sababu umeshapitwa na wakati. Mfumo huo luifaulu labda kwa waliozaliwa nyuma ya mwaka 1960 ambako wengi walizaliwa na kuishi vijijini.

Wengi sasa tumezaliwa mjini ambako jirani yako si tu ni kabila jingine, bali jirani yako ni mwingereza au mmarekani. Huwezi kutegemea mfumo wa zamani kutatua tatizo hili kwa maisha yaliyobadilika namna hii.

Ndiyo maana nasisitiza tusiendelee kudekeza wazazi wakorofi wakati madhara ya ukorofi wao yanaweza kuleta kilema kikubwa cha maisha.

Wapo nilioona wakipigika kwa kufuata wazazi wao na waliotupilia mbali wazazi wakorofi wakainuka kimaisha.

Tusidanganyane, tutafute suluhisho linaloleta haki na tusimwonee aibu mkorofi hata kama ni mama au baba.
 
Mkuu Babushka,

Nimekupata kiasi na nadhani tutaelewana. Mfano niliou-study na kuuleta hapa ni moja ya mambo mengi yanayosababisha.

NImefurahishwa na wale kama wewe ambao mnaona ukweli kwamba mzazi ni binadamu kama wengine na ni mkosaji. Achilia mbali kukuchagulia mke. Wapo wazazi wanatembea na wakwe zao. Baba anatembea na mke wako au mama anatembea na mume wako, au hata mtoto wako, halafu eti unasema unakaa kimya kwa kuna majamaa humu yameapa "waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani.



Mimi naamini hawa ni wazazi watarajiwa wasiojiamini kimaadili na wanatarajia kukandamiza watoto wao ili jamii tuwatetee. Ukimkosea mtoto wako usinletee hiyo kesi maana kwa mifano niliyoona siko tayari kumtetea mzazi mkorofi.

Ninajua jamii haijajiandaa kupata solution na huiacha hilo kifamilia wakati likishatokea hilo tayari familia ilishasambaratika hata kuzikana haipendi. Nimekueleza kwamba jamaa yangu hakutaka hata kumzika baba na mama yake.

Je, tufanyeje kuzia tukio hilo? Huo ndiyo msingi mkuu wa hoja yangu. Mwenye solution alete atusaidie. Hii si thread ya kejeli, tunaongelea uhusiano mzito sana hapa duniani, mzazi na mwanae.
Hakuna kitu kama hicho ww unataka support ili kufundisha watu wawe makaidi kwa wazazi sio your mission failed
 
Hapa kuna elimu zaidi ya chuo kikuu, ngoja ni subscribe huu uzi maana ninanayaona sana katika jamii
 
Hakuna kitu kama hicho ww unataka support ili kufundisha watu wawe makaidi kwa wazazi sio your mission failed
Kweli Mkuu. Tumemshtukia. Huo uhusiano mzito anaousema wa mzazi na mwanae.. mwenye nguvu hapo DAIMA ni mzazi. So siku zote mtoto anatakiwa kujishusha kwa mzazi wake. Jishushe kwa mzazi wako siku zote uone kama kutakuwa na mifarakano kati yenu.
 
Kweli Mkuu. Tumemshtukia. Huo uhusiano mzito anaousema wa mzazi na mwanae.. mwenye nguvu hapo DAIMA ni mzazi. So siku zote mtoto anatakiwa kujishusha kwa mzazi wake. Jishushe kwa mzazi wako siku zote uone kama kutakuwa na mifarakano kati yenu.

Ikumbukwe kuna wazazi wameuawa na watoto wao na dunia ikaelewa na kutetea kwa sababu ilikuwa ni haki.

Kama bado unaishia katika dunia ya kujishusha bila kuangalia hoja pole sana kuishi katika dunia ya sasa, unapaswa kurudi porini kwenye primitivity hiyo.
 
Mmmh jamani alichosema huyu Muungwana kina ukweli asilimia mia na wahanga katika hili ni wale wanaorange kati ya miaka 25 - 30 hivi, kipindi ambacho mtu unahitaji kuwa na private decisions lakini mzazi nae anakuwa na maamuzi yake
Wahanga wakubwa ni watoto wa kiume tena hasa wanapotaka kuanza maisha ya ndoa,,, kugombana na mzazi si busara ila ni lazima busara itumike ili maamuzi yako uyatimize bila mzazi kukwazika.
Kiukweli wazazi wanatamani sana kuwa karibu na mtoto wao cz me nahisi huwa wanaamini hajakua so tusiwatafsiri vibaya ila ni sehemu ya mapenzi ya mzazi kwa mtoto tu
 
Mmmh jamani alichosema huyu Muungwana kina ukweli asilimia mia na wahanga katika hili ni wale wanaorange kati ya miaka 25 - 30 hivi, kipindi ambacho mtu unahitaji kuwa na private decisions lakini mzazi nae anakuwa na maamuzi yake
Wahanga wakubwa ni watoto wa kiume tena hasa wanapotaka kuanza maisha ya ndoa,,, kugombana na mzazi si busara ila ni lazima busara itumike ili maamuzi yako uyatimize bila mzazi kukwazika.
Kiukweli wazazi wanatamani sana kuwa karibu na mtoto wao cz me nahisi huwa wanaamini hajakua so tusiwatafsiri vibaya ila ni sehemu ya mapenzi ya mzazi kwa mtoto tu


Ndugu yangu,

Afadhali mjitokeze mmoja mmoja tofauti na mimi mseme ingawa hata kama thread nzima ningekuwa peke yangu sina support nisingejali maana support yangu ni ukweli niliouona na umeathiri wazazi kiasi kwamba dunia iliyowatetea haikuweza kuwasaidia.

Narudia, hakuna duniani wa kukufindisha kumpenda mzazi. Ukiona imetokea vile basi hilo nijambo geni linatakiwa udadisi na kupatiwa permanent solutions na si porojo za kijinga za baadhi yetu ambazo zinazidi kuongeza tatizo kwa hao wazazi.

Kesi nzuri ya mfano unaojulikana ni ile ya mama yake Taji Liundi ambaye alikufa peke yake bila kujaliwa na mwanae hadi siku ya kifo chake.
 
Back
Top Bottom