General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Wanajamvi natumai kwema kwa wote hata mimi pia.
Naomba kuuliza huu msemo wa kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha; Kimtazamo umekaaje...?
Mfano;Mimi nina mke 1, na mtoto 1, nina miaka 5 ktk ndoa na Umri wangu 33. Nimeona kila Dalili kua nimekosea kuoa. Ikitokea nimejiengua katika hii ndoa ina maana future yangu na yenyewe itakuwa imearibika..???[emoji23]
Naombeni Muongozo ili nijifunze hatua za kuchukua japo ndoa lazima ivunjike na hakuna mjadala. Nawasilisha.
NB;Vijana wa kiume mnao taka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana. Chunguzaneni na hata mpimane Afya ya akili na sio Damu pekee.
Naomba kuuliza huu msemo wa kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha; Kimtazamo umekaaje...?
Mfano;Mimi nina mke 1, na mtoto 1, nina miaka 5 ktk ndoa na Umri wangu 33. Nimeona kila Dalili kua nimekosea kuoa. Ikitokea nimejiengua katika hii ndoa ina maana future yangu na yenyewe itakuwa imearibika..???[emoji23]
Naombeni Muongozo ili nijifunze hatua za kuchukua japo ndoa lazima ivunjike na hakuna mjadala. Nawasilisha.
NB;Vijana wa kiume mnao taka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana. Chunguzaneni na hata mpimane Afya ya akili na sio Damu pekee.