Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kugawana mali siyo sababu ya future mbaya. General Nguli ndoa ukiona ina migogoro isiyorekebishika tupa kule anaza upya mapema sana. Kwa mfano utaoa mwanamke kahaba uvumilie? Au mkorofi anayekutuka kila saa, hana heshima? Mara nyingi anayeharibikiwa baadae baada ya ndoa kuvunjika ni yule mkorofi kwa sababu hata akioa au kuolewa tena hatadumu kwenye ndoa.Future yako inawezekana kuharibika kama kuna ule mgawanyo wa mali katika kutengana. Umehustle miaka 5-6 umenunua kiwanja umejenga now unaitwa baba mwenye nyumba.lakini mkigawana mali unaenda kuanza maisha upya.unarudi geto kama msela wa enzi zilee[emoji38][emoji38][emoji13] Unaanza harakati upyaa... Na bado malezi yanakungoja.
Nb:inategemea na ukubwa wa mgao mtaopeana.wengine wanagawana mil 500 Wengine mil 2 Wengine tunagwana suguria na mabakuli na makochi[emoji38]
Hakika ila ndoa hapo inahusikaje kuharibu futureSiku zote future ya watu wote dunia hii ni nzuri
Ila mipango yako ya leo ndio itaharibu au kutengeneza future ya kesho
Kaka umesema kweli,huwezi ishi na mwanamke ambae hakuheshimu asubuhi hii kweli..???Hata kugawana mali siyo sababu ya future mbaya. General Nguli ndoa ukiona ina migogoro isiyorekebishika tupa kule anaza upya mapema sana. Kwa mfano utaoa mwanamke kahaba uvumilie? Au mkorofi anayekutuka kila saa, hana heshima? Mara nyingi anayeharibikiwa baadae baada ya ndoa kuvunjika ni yule mkorofi kwa sababu hata akioa au kuolewa tena hatadumu kwenye ndoa.
Yaani hata leo nikipata mzuri mwenye uwerevu hakika naampa shavu.Ukikosea kuoa oa tena. Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie
Good kaka...Huo ni msemo tu. Hauna uhalisia wowote, ndiyo maana wachangiaji wote wameshindwa kutoa maelezo ya jinsi gani kukosea kuoa kunaharibu maisha.
Huyo mke tupa kule halafu vuta kasichana miaka 20
Kwani ndoa haina mipango, kabla ya ndoa si kulikuwa na mipangoHakika ila ndoa hapo inahusikaje kuharibu future
💯🤝ndoa lazima ivunjike na hakuna mjadala. Nawasilisha
Mkishaachana tuliza akili kwanza angalia wapi ulikosea unaweza kusema unamkomoa kumbe unajikomoa mwenyewe unajikuta unamweka ndani mjinga mjinga kama uliyepiga chiniUkikosea kuoa oa tena. Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie
Ndoa sikuhiz hazielewekNi hatari sana ukikosea kuoa utajuta yaani.
Mfano muachane ghafla Kuna gharama kubwa sana huwezi kujua kama malezi ya watoto kama kweli una akili hapo unafikiria na future ya mtoto kama utaoa akienda kukaa kwa mama wa kambo (mkeo mpya) hapo atanyanyasika ..Bado akienda kwa mama ake mzazi kule utatuma pesa kama Kuna Mali zitagawanywa .
Kuna mtu namfahamu alioa mwanamke wa huko chuo yeye wa nyumba ila mke wa huko kaskazini mtoto mmoja ila jamaa hamuelewi mke kabisa mpaka ujenzi kaacha Bora akalewe maana anaona Kuna taa nyekundu mke anataka gharama na kila kitu kipelekwe kwao haswa December anaweza kutaka hata mil 5 aende nazo kwao😂...Jamaa kasema hawezi kujenga maana wanaweza kulipuana mda wowote Bora pesa afiche au akalewe tu
Na huyo piga chini chukua mwingine mpaka utakapo mpata anaekufaaMkishaachana tuliza akili kwanza angalia wapi ulikosea unaweza kusema unamkomoa kumbe unajikomoa mwenyewe unajikuta unamweka ndani mjinga mjinga kama uliyepiga chini
🤣🤣🤣Na huyo piga chini chukua mwingine mpaka utakapo mpata anaekufaa