Kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha

Kukosea kuoa ama kuolewa umeharibu maisha

Huo ni msemo tu. Hauna uhalisia wowote, ndiyo maana wachangiaji wote wameshindwa kutoa maelezo ya jinsi gani kukosea kuoa kunaharibu maisha.

Huyo mke tupa kule halafu vuta kasichana miaka 20
 
Well, mbona sijawahi kuona mwenye analeta sifa za raha za ndoa humu!?
Kataa ndoa wakija wangu wangu tunawalaumu
 
Future yako inawezekana kuharibika kama kuna ule mgawanyo wa mali katika kutengana. Umehustle miaka 5-6 umenunua kiwanja umejenga now unaitwa baba mwenye nyumba.lakini mkigawana mali unaenda kuanza maisha upya.unarudi geto kama msela wa enzi zilee[emoji38][emoji38][emoji13] Unaanza harakati upyaa... Na bado malezi yanakungoja.

Nb:inategemea na ukubwa wa mgao mtaopeana.wengine wanagawana mil 500 Wengine mil 2 Wengine tunagwana suguria na mabakuli na makochi[emoji38]
Hata kugawana mali siyo sababu ya future mbaya. General Nguli ndoa ukiona ina migogoro isiyorekebishika tupa kule anaza upya mapema sana. Kwa mfano utaoa mwanamke kahaba uvumilie? Au mkorofi anayekutuka kila saa, hana heshima? Mara nyingi anayeharibikiwa baadae baada ya ndoa kuvunjika ni yule mkorofi kwa sababu hata akioa au kuolewa tena hatadumu kwenye ndoa.
 
Unapokosa utulivu na amani kwa mwenza wako dunia utaiona chungu, kila kitu kinaharibika. Amani itawale kwanza, mapenzi yafuatie baada ya amani.
 
Hata kugawana mali siyo sababu ya future mbaya. General Nguli ndoa ukiona ina migogoro isiyorekebishika tupa kule anaza upya mapema sana. Kwa mfano utaoa mwanamke kahaba uvumilie? Au mkorofi anayekutuka kila saa, hana heshima? Mara nyingi anayeharibikiwa baadae baada ya ndoa kuvunjika ni yule mkorofi kwa sababu hata akioa au kuolewa tena hatadumu kwenye ndoa.
Kaka umesema kweli,huwezi ishi na mwanamke ambae hakuheshimu asubuhi hii kweli..???
 
Huo ni msemo tu. Hauna uhalisia wowote, ndiyo maana wachangiaji wote wameshindwa kutoa maelezo ya jinsi gani kukosea kuoa kunaharibu maisha.

Huyo mke tupa kule halafu vuta kasichana miaka 20
Good kaka...
Nataka nione nakosea kama nikiachana nae,
Na siku ntaleta mapungufu yangu na ya mkewangu alafu mjioneee.
 
Magonjwa mengi yawapatayo wanaume chanzo ni wake zao kutokana na malezi mabovu waliyopewa na mama zao.
Mtoto kalelewa vibaya mzigo unakuja ubeba wewe KWA sababu umekosea kuoa
 
Wanawake watambua umuhimu wa ndoa baada ya kuachika.
Wanashindwa kusimama kwenye nafasi zao kwa kupingana na nature
 
Ni hatari sana ukikosea kuoa utajuta yaani.

Mfano muachane ghafla Kuna gharama kubwa sana huwezi kujua kama malezi ya watoto kama kweli una akili hapo unafikiria na future ya mtoto kama utaoa akienda kukaa kwa mama wa kambo (mkeo mpya) hapo atanyanyasika ..Bado akienda kwa mama ake mzazi kule utatuma pesa kama Kuna Mali zitagawanywa .

Kuna mtu namfahamu alioa mwanamke wa huko chuo yeye wa nyumba ila mke wa huko kaskazini mtoto mmoja ila jamaa hamuelewi mke kabisa mpaka ujenzi kaacha Bora akalewe maana anaona Kuna taa nyekundu mke anataka gharama na kila kitu kipelekwe kwao haswa December anaweza kutaka hata mil 5 aende nazo kwao😂...Jamaa kasema hawezi kujenga maana wanaweza kulipuana mda wowote Bora pesa afiche au akalewe tu
Ndoa sikuhiz hazielewek
 
Back
Top Bottom