Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Haina ubishi kuwa mawakala na mameneja wana mchango mkubwa kwenye kufanya michezo iwe biashara, kutoka kwenye mtazamo wa sasa ambapo soka letu bado lina sura ya ridhaa.
Kwa mujibu wa tovuti ya FIFA, mawakala waliosajiliwa na TFF (utaratibu ni kuwa vyama vya nchi husika husajili na kuwathibitisha mawakala, kisha FIFA kutumiwa majina) ni wanne pekee huku mtandao wa mawakalaa wa Fieldoo ukiwa na mawakala watatu pekee waliojisajili kutokea Tanzania.
Wapo mawakala ambao hawajasajiliwa na TFF lakini ni Watanzania na wanafanya kazi kwa maslahi ya nchi yetu na mara kadhaa tumewaona wakijishughulisha na wachezaji wa hapa ndani, mfano ni wakala wa Shomari Kapombe ambaye amesajiliwa Uholanzi.
Mawakala huhudumu kama mameneja na walezi wa wachezaji, huwajibika kuwashauri kuhusu mwenendo wao mchezoni na nje ya mchezo. Kama mchezaji atashindwa kuishi maisha ya nidhamu na kujitunza, hasara huwa kwa wakala maana mchezaji huyo atakuwa hauziki.
Ni rahisi sana kuwalaumu wachezaji, lakini kuna kundi ambalo halitekelezi wajibu wake ipasavyo, mawakala na viongozi ambao wanawajibika kuwaunganisha wachezaji na mawakala.
Faida ya kuwa na wakala haikomei kwenye usajili wa kwenda Uaya pekee, wakala anawajibika hata kwenye uhamisho ambao unahusisha vilabu vya ndani na kumsimamia mchezaji kwenye mikataba mingine anayoingia.
Bila kubadili mtazamo wetu juu ya nafasi ya mawakala/mameneja wa wachezaji, bado tutaenda na kurudi kisha kuishia kuwalaumu viongozi wetu wa soka ambao wapo kwa maslahi yao zaidi.
waione: dfk-agent, vanmedy
Kwa mujibu wa tovuti ya FIFA, mawakala waliosajiliwa na TFF (utaratibu ni kuwa vyama vya nchi husika husajili na kuwathibitisha mawakala, kisha FIFA kutumiwa majina) ni wanne pekee huku mtandao wa mawakalaa wa Fieldoo ukiwa na mawakala watatu pekee waliojisajili kutokea Tanzania.
[TABLE="class: table tbl-agents, width: 100%"]
[TR]
[TD="class: tbl-webname, align: left"]BINKLEB Lufti Ahmed[/TD]
[TD="class: tbl-company, align: left"]
[/TD]
[TD="class: tbl-fullAddress, align: left"]Dakawa Road, DAR ES SALAAM[/TD]
[TD="class: tbl-otherInfo, align: left"]
[/TD]
- Emailmd@klebson.com
- Tel+255-716/200 033
- Fax+255-22/212 64 40
- Mobile+255-782/200 033
[/TR]
[TR]
[TD="class: tbl-webname, align: left"]NDUMBARO John Daniel[/TD]
[TD="class: tbl-company, align: left"]
[/TD]
[TD="class: tbl-fullAddress, align: left"]P.O. Box 79944, DAR ES SALAAM[/TD]
[TD="class: tbl-otherInfo, align: left"]
[/TD]
- Emailjohndanieltz@yahoo.com
- Tel
- Fax
- Mobile
[/TR]
[TR]
[TD="class: tbl-webname, align: left"]REMTULLA Mehdi[/TD]
[TD="class: tbl-company, align: left"]
[/TD]
[TD="class: tbl-fullAddress, align: left"]P.O. Box 20749, DAR ES SALAAM[/TD]
[TD="class: tbl-otherInfo, align: left"]
[/TD]
- Emailmkr@raha.com
- Tel+255-22/212 52 32
- Fax+255-22/212 52 32
- Mobile+255-755/964 964
[/TR]
[TR]
[TD="class: tbl-webname, align: left"]SALEH Ally[/TD]
[TD="class: tbl-company, align: left"]
[/TD]
[TD="class: tbl-fullAddress, align: left"]P.O. Box No. 189, ZANZIBAR[/TD]
[TD="class: tbl-otherInfo, align: left"]
[/TD]
- Emailallysaleh126@gmail.com
- Tel
- Fax
- Mobile+255-777/430 022
[/TR]
[/TABLE]
Wapo mawakala ambao hawajasajiliwa na TFF lakini ni Watanzania na wanafanya kazi kwa maslahi ya nchi yetu na mara kadhaa tumewaona wakijishughulisha na wachezaji wa hapa ndani, mfano ni wakala wa Shomari Kapombe ambaye amesajiliwa Uholanzi.
Mawakala huhudumu kama mameneja na walezi wa wachezaji, huwajibika kuwashauri kuhusu mwenendo wao mchezoni na nje ya mchezo. Kama mchezaji atashindwa kuishi maisha ya nidhamu na kujitunza, hasara huwa kwa wakala maana mchezaji huyo atakuwa hauziki.
Ni rahisi sana kuwalaumu wachezaji, lakini kuna kundi ambalo halitekelezi wajibu wake ipasavyo, mawakala na viongozi ambao wanawajibika kuwaunganisha wachezaji na mawakala.
Faida ya kuwa na wakala haikomei kwenye usajili wa kwenda Uaya pekee, wakala anawajibika hata kwenye uhamisho ambao unahusisha vilabu vya ndani na kumsimamia mchezaji kwenye mikataba mingine anayoingia.
Bila kubadili mtazamo wetu juu ya nafasi ya mawakala/mameneja wa wachezaji, bado tutaenda na kurudi kisha kuishia kuwalaumu viongozi wetu wa soka ambao wapo kwa maslahi yao zaidi.
waione: dfk-agent, vanmedy