Kukosekana kwa staha kwa baadhi ya viongozi wa mihimili ya serekali kudhibitiwe haraka.

Kukosekana kwa staha kwa baadhi ya viongozi wa mihimili ya serekali kudhibitiwe haraka.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Inanisikitisha Sana Kwa baadhi ya viongozi ya baadhi ya mihimili kuropoka ropoka kana kwama hakuna sehemu mahususi ya kujadili pale tunaposhindwa jambo Fulani kulielewa ingali wote sisi ni watu wa chama kimoja CCM, tusipo dhibiti hali hii ya kuongea hovyohovyo ipo siku tutakuja kujibomoa sisi wenyewe Tulinde nidhamu miongoni mwetu tuifuate miiko yetu iwe ni marufuko kutengeneza mambo yanayoweza kusababisha migongano miongoni mwetu.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Naona Ndugu hai kwa kiasi fulani yupo sahihi, ametoa maoni kwa kiasi chake yaani uwezo wake wa kuelewa, kama amekosea ndio wakati sasa wa kumuelewesha nasi wengine tuelewe..... Na alichokifanya ndio uhuru wa kutoa maoni
 
Na yule aliyesema wanaajiri waliofeli pekee ili wakalinde jamani [emoji23][emoji23][emoji23]hii sio kauli ya kiungwana kabisa unaongea kauli kama hii kwenye nafasi ya kuteuliwa ambayo haina guarantee time wanakuvua unabaki kutia huruma hao failures mpaka wagonge miaka 60 wanakucheki tu unavyo haingaika na masiasa.
 
Karibu Mkuu wa chama taifa atakapokaa kimya italeta maana fulani na atakapokemea na kuchukua hatua pia itatuletea picha fulani possibly zipo ajenda za siri lile tambo la kusikiliza simu liwashwe tuwajue ambao siyo wenzetu tuwangoe mapema
 
Back
Top Bottom