Kukosekana kwa uzalendo wa kweli miongoni mwa Watanzania ndio sababu ya CCM kushinda kila uchaguzi. Nov 2024 CCM itashinda, Oct 2025 itashinda tena

Kukosekana kwa uzalendo wa kweli miongoni mwa Watanzania ndio sababu ya CCM kushinda kila uchaguzi. Nov 2024 CCM itashinda, Oct 2025 itashinda tena

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Elimu ya uzalendo ni muhimu,itolewe, kwenye nyumba za ibada, mitandao ya kijammii, mashuleni ngazi ya familia, kuwepo na kampeni ya mafisadi. Watanzania hatiki kusikia uzalendo, ndio maana hata kichanga humu j/forum, watu wanapita, so ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ya uzalendo.
 
Elimu ya uzalendo ni muhimu,itolewe, kwenye nyumba za ibada, mitandao ya kijammii, mashuleni ngazi ya familia, kuwepo na kampeni ya mafisadi. Watanzania hatiki kusikia uzalendo, ndio maana hata kichanga humu j/forum, watu wanapita, so ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ya uzalendo.
CCM wametafsiri UZALENDO ni kitendo cha kumwabudu Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa
 
Acha fix, EL wa CDM alishinda kwa 70% ila dola ikampoka Urais wake maskini. ( RIP)
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Labda ungesema itapora maana hata 2019 na 2020 kulikuwa na uporaji wa matokeo. Kungekuwa na uchaguzi huru na wa haki ungesema anashinda. Ni sawa na kushindana ngumi na Mtu aliyefungwa mikono halafu useme umemshinda.
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Tanzania tunatatizo la kizalendo,ubinafsi umezidi mno
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Naunga mkono hoja. Uzalendo ndo tatizo kubwa kwa Nchi yetu. Lakini mimi nadhani tatizo jingine ni UJINGA na UMASKINI.
 
Acha kuropoka. Leo mahakama imebariki Waziri wa TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa wakati huo huo huyo Waziri kadai lazima CCM Ibebe viti vyote.
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Unataka tuitoe CCM,tuweke chama gani?
 
Kwa tafsiri sahihi isiyogemea chama chochote cha siasa UZALENDO ni hali ya mtu kuipenda nchi yake na kuwa tayari kuifia. Kwa nyongeza ni pale raia anafikia hatua ya kupambana na mtu yeyote bila kujali cheo, hali au mali alizonazo ikiwa tu mtu huyo atahatarisha au kuweka rehani mali za umma.

Mzalendo adui yake mkubwa ni fisadi. Lakini Watanzania wengi hugawiwa pesa ndogo kutoka kwa mafisadi ambayo inatosha chakula cha siku moja tu. Wakipewa pesa kidogo wanalisahau Taifa lao.
Wanazisahau rasilimali zao.

Kipindi hichi kuelekea kampeni mafisadi watagawa mashati bure, kofia, bodaboda, baiskeli ambavyo haviwezi kutatua changamoto za Watanzania.

Mafisadi watashukuriwa kwa kugawa mipira ya miguu na sare za mpira. Wazalendo wa kweli hawawezi kuibiwa akili kwa vitu vidogo vidogo.

Kwahiyo CCM itashinda, itashinda na kushinda zaidi.
Kweli watanzania tumezidi kulala.
 
Israel na Iran nani Bingwa ??!
Simba na Yanga nani Bingwa ??!
Ubaya Ubwela !!
Hii ndio kazi tunaiweza zaidi 😅😂🙏
Ukiona hivi ujue Watu wameshiba hawana shida !
Njaa ikiwapata watakuwa kitu kimoja na watakuwa Wazalendo kweli kweli bila kufundishwa na mtu yeyote 🙏🙏😂
 
Kwanza hakuna tume, siamini kama kuna mtu ana akili timamu anaipenda CCM kama siyo fisadi ujue ana anatatizo la akili
 
Israel na Iran nani Bingwa ??!
Simba na Yanga nani Bingwa ??!
Ubaya Ubwela !!
Hii ndio kazi tunaiweza zaidi 😅😂🙏
Ukiona hivi ujue Watu wameshiba hawana shida !
Njaa ikiwapata watakuwa kitu kimoja na watakuwa Wazalendo kweli kweli bila kufundishwa na mtu yeyote 🙏🙏😂
Ndiyo maana mafisadi yanaitafuna nchi vizuri
 
Angalia uchumi umeshikwa na nani, watanzania wengi ni maamuma wanchojari wao nikipande Cha mkate Cha Leo, hawana haja na kujua mustakari wao miaka kumi ijayo. Kwa akili za kawaida mwarabu, mhindi anakuwaje mbunge au diwani? Kiongozi wa kuchaguliwa na Hawa watu ni wezi na majangili wakimfumo na watoa rushwa wakubwa.

Wanapewa kipande Cha kanga na elfu mbili shughuli imeisha wanaelekea kibra.

Miaka zaid ya sitini tunaongelea vika kama matundu ya vyoo kwenye shule, madawati, maji Safi. wakati kuna viongozi wa ngazi za chini kabisa wanatumia magari thamani yake unajenga shule , safari za nje zisizo na kichwa Wala miguu, na kubeba wasanii uchwara ambao Kwa maudhui yao wengi wao wanazidi kuharibi Jamii. Kisa uchawa.

Ni sawa na. Kuchagua kumiliki gari la mil 25, wakati unaishi kwenye nyumba ya mbavu za mbwa na makuti, panya na mbu wanapita kila sehemu. Ni ujinga mkubwa.
 
Back
Top Bottom